Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
Tusiomjua tuhabarishe basi nasi tuwe conviced maana twasikia wana undugu na JK isije ikawa zama za ufalme.humjuwi Membe vizuri wewe.
Tupe info pls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiomjua tuhabarishe basi nasi tuwe conviced maana twasikia wana undugu na JK isije ikawa zama za ufalme.humjuwi Membe vizuri wewe.
Ndugu zangu,
Haya ni maoni yangu binafsi nisije nikaanza kuviziwa kutolewa roho na wale wasiopenda kukosolewa.
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa kilichotokea Congo kwenye uchaguzi na uhusika wa kanisa katoliki ktk kupigania haki za wananchi.
Kwa leo sitapenda kuzungumzia umuhimu wa dini kwenye jamii ila ninalipongeza kanisa kwa kufuata misingi ya ki MUNGU kutatua migogoro,ni vema na kanisa katoliki tanzania kuiga na kufuata njia hizo,achana na hivi vikanisa uchwara vinavyowalamba miguu wauaji na kuwasifia hadharani.
Pia kinachoendelea zimbwabwe mpaka muda huu naandika kinasikitisha,bw.Mugabe ameshaiharibu nchi ile na wananchi wanateseka na uchumi wakati yeye kwa sasa amekaa kwa raha anakunywa juice ya baridi bila shida akiwacheka wananchi wake.
Ifike mahali chama cha mapinduzi kijifunze kutokana na matukio ya vyama vilivyoharibu nchi zao kwa kuwakumbatia viongozi wanaoharibu badala ya kujenga.
Ni vema kukawepo na mbadala pale ambapo kiongozi aliyeko madarakani anapoharibu basi asiruhusiwe kiendelea kuharibu na badala yake awepo mbadala na hatimae nchi isonge mbele,
2020 ili kuokoa taifa letu la tanzania na mateso ya wananchi ya kiuchumi,kutekwa,kuuawa,kupotezwa na hata kuweka mahusiano kwa vyama vya upinzani na hatimaye kujenga nchi moja isiyo na upendelea wa kikabila au kikanda ni vema ccm mkawa na plan b ambayo ni Bernad Membe kuwa mgombea wa uraisi,chama kinapaswa kuwa imara na kisimuonee haya wala huruma anayeharibu misingi ya chama.
Na kama ccm haitaliona hilo kama la maaana,ninawahakikishia 2025 mtayaona yaliyotokea Congo.
Yangu machache hayo.
@#Swelana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wewe na familia yako .Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
Ndugu zangu,
Haya ni maoni yangu binafsi nisije nikaanza kuviziwa kutolewa roho na wale wasiopenda kukosolewa.
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa kilichotokea Congo kwenye uchaguzi na uhusika wa kanisa katoliki ktk kupigania haki za wananchi.
Kwa leo sitapenda kuzungumzia umuhimu wa dini kwenye jamii ila ninalipongeza kanisa kwa kufuata misingi ya ki MUNGU kutatua migogoro,ni vema na kanisa katoliki tanzania kuiga na kufuata njia hizo,achana na hivi vikanisa uchwara vinavyowalamba miguu wauaji na kuwasifia hadharani.
Pia kinachoendelea zimbwabwe mpaka muda huu naandika kinasikitisha,bw.Mugabe ameshaiharibu nchi ile na wananchi wanateseka na uchumi wakati yeye kwa sasa amekaa kwa raha anakunywa juice ya baridi bila shida akiwacheka wananchi wake.
Ifike mahali chama cha mapinduzi kijifunze kutokana na matukio ya vyama vilivyoharibu nchi zao kwa kuwakumbatia viongozi wanaoharibu badala ya kujenga.
Ni vema kukawepo na mbadala pale ambapo kiongozi aliyeko madarakani anapoharibu basi asiruhusiwe kiendelea kuharibu na badala yake awepo mbadala na hatimae nchi isonge mbele,
2020 ili kuokoa taifa letu la tanzania na mateso ya wananchi ya kiuchumi,kutekwa,kuuawa,kupotezwa na hata kuweka mahusiano kwa vyama vya upinzani na hatimaye kujenga nchi moja isiyo na upendelea wa kikabila au kikanda ni vema ccm mkawa na plan b ambayo ni Bernad Membe kuwa mgombea wa uraisi,chama kinapaswa kuwa imara na kisimuonee haya wala huruma anayeharibu misingi ya chama.
Na kama ccm haitaliona hilo kama la maaana,ninawahakikishia 2025 mtayaona yaliyotokea Congo.
Yangu machache hayo.
@#Swelana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiandaeni kurudi kijijini kutesa Kwa zamuSio busara na ni kinyume cha taratibu za chama kuanza kumpigia kampeni Membe kwa sasa.
Jiandaeni kurudi kijijini, tunataka MTU mwenye exposure, mwenye vision, Na sio mafundi wajifunzao kupiga Bati.Mimi nasimama na magufuli 2020 magufuli tu atosha kazi na bata
Kuongozwa na Jiwe pia ni laana....masuala huwa hayafanikiwi....Mtwara tunalimia meno Korosho zetu...Huu uchuro sijui utaisha lini! Nafikiri mngemuacha Bwana Mkubwa atulie amalize Miaka yake kumi alete maendeleo anayotaka ndo muanze amsha amsha! Si kila mtu amejaaliwa kuwa kiongozi wa nchi si mtulie mkubali matokeo kama White hairs, mimi napambana kuipaka rangi my family mbona naridhika kuongoza family tu hadi mwanangu mdogo nishampandisha ndege akatua Europe na English medium wanadunda ! Kuongoza watu maskini wa mali na roho ni kitu kigumu sana!
kama huuwazi ni wewe na uzembe wakoAcha uongo mbona mi siuwazi
Tuheshimiane basi ,mfano Mimi nawaza kuwa mchungaji muadilifu je ni uzembe nibadili ndoto nitake uraiskama huuwazi ni wewe na uzembe wako
magufuli 2020 wala hatajisumbua kupiga kampeni anakaa tu kwenye tv anasema leo naongea na watu wa mwanza basi tunashinda kiulainiiiiii asubui tuJiandaeni kurudi kijijini, tunataka MTU mwenye exposure, mwenye vision, Na sio mafundi wajifunzao kupiga Bati.
magufuli 2020 wala hatajisumbua kupiga kampeni anakaa tu kwenye tv anasema leo naongea na watu wa mwanza basi tunashinda kiulainiiiiii asubui tu
I wish siku jaji lubuva akianza kutangaza matokeo uwe pembeni yangu niwe nimekushikilia ha ha ha ha haHata mchujo wa ccm tu atopita ndo sembuse Kwa watz,Kwa lipi jema alilowafanyia watz
I wish siku jaji lubuva akianza kutangaza matokeo uwe pembeni yangu niwe nimekushikilia ha ha ha ha ha
I wish siku jaji lubuva akianza kutangaza matokeo uwe pembeni yangu niwe nimekushikilia ha ha ha ha ha
#9I wish siku jaji lubuva akianza kutangaza matokeo uwe pembeni yangu niwe nimekushikilia ha ha ha ha ha
Wakuu.
Tuache Utani jamaa anaakili hadi anaudhi, yaani mtu anajieleza Kwa umakini na unahisi kweli kiongozi anaongea
Anatumia busara kuelezea kitu, hafokifoki kama mtu tu wamtaani.
Hana hasira na anaonekana ni kiongozi aliyeiva sana kwenye masuala nyeti kabisa ya nchi kuliko viongozi wengi,
Membe usihi Daima nitazidi kukuombea kwa Mungu uwe na umri mrefu.
Mh Membe Atuakikishie pia kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sisi tulohapa kutopiga kura tena tutajiandikisha na kumpa kura kwa mamilioni#9
Faida kuu endapo watz wasipofanya kosa tena.Mwambie jirani yako usifanye kosa tena#
_Wasiojulikana awatokuwapo tena
_Demokrasia itarudi
_Ajira zitaongezeka watu watawekeza sana
_Bungelive
_Uhuru wa vyombo vya habari tena
_Bureau de change zitarudi
_Biashara zitafufuka
_Kilimo kitafufuka
_Furaha yetu itarudi
_Umoja wa kitaifa itarudi
_Biashara zilizokimbizwa nje zitarudi
_Kodi haitakuwa komozi
_Ndoa zitaimarika sababu ya uchumi mzuri
_Miji itakuwa Kwa kasi sababu uchumi kukua
_Diplomasia itarudi mahali lake
_Wageni wataongezeka
_Mishahara Na vyeo vitapanda
_Wapinzani watakuwa huru.
_Wafungwa wa uonevu wataachiliwa
_Makusanyo ya kodi yataongezeka
_Wasiojulikana kuishia jela
_Waunga juhudi kukaa benchi.
_Misaada itaongezeka
_Heshima yetu itarudi tena
Hizi ni faida Kwa uchache