Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM wako wangapi ?Baada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni
1.Lissu
2.Msigwa
3.Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel kuwa mbona haikuwepo toka 2010.
Yapi maoni yako?
hivi kumbe na wewe unalipwa elfu 7 ! ama hakika corona imeua uchumiKuiunga mkono Chadema kipindi hiki ni zaidi ya kujitoa ufahamu. Jamaa ni Wasanii mchana kweupe na kichwani Vichwa Butu yaani Wepesiiiiiiiii.....
Acha kulia lia.
Hasira za nini sasa?Wewe Malaya wa kisiasa ndiye unayelialia.Bila CHADEMA hizo 7000/- kwa siku utatoa wapi?
Nasema hivi ya CHADEMA hayawahusu nyie kitimoto wa Lumumba
Thread mavi uharoBaada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni
1.Lissu
2.Msigwa
3.Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel kuwa mbona haikuwepo toka 2010.
Yapi maoni yako?
Hayo ni maoni yako na kama walivyo wengine utaheshimiwa nayo, waache na ka kamati kao endelea na mambo yako,.Baada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni
1.Lissu
2.Msigwa
3.Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel kuwa mbona haikuwepo toka 2010.
Yapi maoni yako?
Hasira za nini sasa?
.
Kujifariji kunaruhusiwa.Hii ndo CHADEMA mliosema umeporomoko na Imekufa.Waambie Wana Lumumba wanywe sumu
Hofu ya nini sasa? let bygones be bygonesUtakuwa ni uzezeta kama ww unajijua ni ccm alafu ukawaunga mkono cdm ww unga kundi lako na wao waunge kundi lao uoga wa nn?
According to you!!hivi kumbe na wewe unalipwa elfu 7 ! ama hakika corona imeua uchumi
Mimi Malaya
Tunaposema kuna watu wanafikiria kwa kutumia matakoo wewe ni mmoja wao?Baada ya kusubiri kwa mda mrefu kusikiliza watangaza nia ndani ya chadema,nimeona watu maalum tu ndio wameweka nia. Mpk jana ni
1. Lissu
2. Msigwa
3. Nyalandu.
Inavyoonekana ni kale ka kamati cha ruzuku ndio wanatangaza. Huo utoto ni mkubwa katika kujenga demokrasia waliyokuwa wapigiwa kelel kuwa mbona haikuwepo toka 2010.
Yapi maoni yako?