Ujamaa haujawahi kuwa mfumo mbaya kwa 100%. Tumia akili.Mtu asiye na mawazo ya ujamaa 100% na asiye mwizi anatosha.
Inchi inahitaji wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa, teknolojia n.k hatuwezi kuwa na haya mambo kwa akili za kijamaa 100%.
Tafuta nchi Yako umuweke J.Makamba afu ndio atawateua hao uliowataja.January MAKAMBA KWA mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Soma uelewe. Sijashauri nchi iwe ya kibepari kwa asilimia 100%.Ujamaa haujawahi kuwa mfumo mbaya kwa 100%. Tumia akili.
Nenda Kenya ukaone athari za Ubepari kwa 100%.
Nenda Marekani uoine kama hakuna ujamaa.
Tatizo la wabongo mna hulka fulani ya kutamani vitu ambavyo hamvijiui vizuri au kwa kusikia sikia tu.
Hapa unajadili, humshauri yeyote.Soma uelewe. Sijashauri nchi iwe ya kibepari kwa asilimia 100%.
Na wala ubepari huufahamu. Na ndio maana hujui unachojadili.Halafu sina sababu ya kwenda Kenya wala marekani kuufahamu ubepari.
Kitu ni nini ?Hakuna kitu kinaitwa wabongo, kuna watanzania.
Labda awe rais wako wewe na uko wako....huyo hawezi kuwa rais wa nchi hi, hata uwaziri alionao sasa hawezi kudumu nao....mark my words...January MAKAMBA KWA mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Huwezi kuwa na rais wa aina ya huyo dogo...Huyu bwana hafai, nchi itajaa mchwa
Akili za kimasikinii unajadili watu badala ya kuijadili ajenda za kitaifa kama kativa mpyaJanuary MAKAMBA KWA mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Upo sahihi Ila usahihi wako ni Kwenye Id hii humu jukwaani tu.Hapa unajadili, humshauri yeyote.
Huna uwezo wa kushauri, ni mpumbavu tu atakubaliana na ushauri wako.
Mkuu, hujui maana ya "ujamaa"; halafu unakuja hapa na kupotosha uonekane wewe ni mjuaji!Mtu asiye na mawazo ya ujamaa 100% na asiye mwizi anatosha.
Inchi inahitaji wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa, teknolojia n.k hatuwezi kuwa na haya mambo kwa akili za kijamaa 100%.
Hafai ana jaziba sana.Tundu Lissu ni Rais baada ya Tume kuwa huru.
Kipimo chake ni kwenye uwaziri wa nishati. Kwa sasa tunashuhudia akifanya makongamano kila siku.uwaziri wenyewe hauwezi ndo sembuse uraisi.
Unataka aingize nchi vitani? Maana huwa hashirikishi brain katika matamko na matendo yake..Tundu Lissu ni Rais baada ya Tume kuwa huru.