Mimi nimeacha kusoma mara baada ya kulikuta jina la dr Bashir, yaani huyu ni msomi nisiyejua kabisa usomi wake una maana ganiYaani hapo ulipomtaja tu Paul Makonda, sijui Ummy Mwalimu, Kalemani, James Mbatia, nk nimeona nichague tu kukupotezea!
Haiwezekani sura zile zile kuamua hatma ya maisha yetu miaka nenda! Tunahitaji sura mpya na mawazo mapya.
Haya, MAKAMBA tayari.January MAKAMBA KWA mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Sijui maana ya ujamaa sawa. Hata mwenzako kanieleza hivyo na sitabisha kuhusu hilo maana wala halina umuhimu...Mkuu, hujui maana ya "ujamaa"; halafu unakuja hapa na kupotosha uonekane wewe ni mjuaji!
Kongamano liliandaliwa na Mwananchi newspapers, wamejiwekea utaratibu wa kuandaa makongamano yanayohusu taasisi mbalimbali kila weekend, wiki hii ilikuwa ni taasisi za kifedha!! Last week ilikuwa ni nishati na madini, wakamwalika yeye kama waziri mwenye dhamana, ulitaka akatae? And hayo makongamano kila siku ni yepi? unaweza kututajia hapa?Kipimo chake ni kwenye uwaziri wa nishati. Kwa sasa tunashuhudia akifanya makongamano kila siku.
Anaweza kuwa rais ila hawezi kuwa RaisJanuary hawezi kuwa rais maana sifa za kuwa tu rais hana
😬😬😬Ni kweli urais wa chama Cha kucheza rede na mdako utamfaa sana.
ALIIBA MITIHANI HUYO HAFAIJanuary MAKAMBA KWA mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Huyo ana spam mishindo tutalala kabla hatujaamka nchi tutaikuta ipo vitani na Malawi, , Msumbiji na hadi Korea Kasikazini 🤭🤭🤭🤭🤭Tundu Lissu ni Rais baada ya Tume kuwa huru.
Alipata Zero huko vidatoni 🤭🤭 , kisha ghafula akaibukia marekani na akarudi na vyeti hakika, February hafai peponi wala Kuzimuni huko motoni kwa shwetani!ALIIBA MITIHANI HUYO HAFAI
Angalia unavyojichanganya.Sijui maana ya ujamaa sawa. Hata mwenzako kanieleza hivyo na sitabisha kuhusu hilo maana wala halina umuhimu...
Kuhusu ujuaji, nachojua ni kuwa kwenye makaratasi tunasema tupo katika ujamaa na kujitegemea ila katika uhalisia sivyo tulishawahi kuwa awamu ya BWT ikafeli akang'atuka.
Safi ndiyo sababu nikaandika kuwa tutalala kabla hatujaamka tutajikuta tupo vitani na Malawi, Msumbiji hadi Korea Kasikazini!Hafai ana jaziba sana.
Anyway, mimi mwenyewe sijasema tuwe na ubepari kwa 100% au ujamaa kwa 100%.Upo sahihi Ila usahihi wako ni Kwenye Id hii humu jukwaani tu.
Kuhusu hayo mengine pia upo sahihi sikupingi. Ila ni humu JF tunapojadili.
Ila tukitoka humu tukarudi katika uhalisia Nchi yetu haipo katika ujamaa kwa 100% na haitakuwa.
Tulishakuwa awamu fulani ya kale na awamu ya hapa karibuni tulitaka kujaribu kidogo ila ikashindikana kwa sababu fulani fulani na haitawezekana tena bwana Mkaruka.
Kazi iliyobaki ni kuzuia ubepari 100% na kuzuia mabepari wezi wa rasilimali.