Hivi unategemea jipya kutoka kwa mataga?Yaani hapo ulipomtaja tu Paul Makonda, sijui Ummy Mwalimu, Kalemani, James Mbatia, nk nimeona nichague tu kukupotezea!
Haiwezekani sura zile zile kuamua hatma ya maisha yetu miaka nenda! Tunahitaji sura mpya na mawazo mapya.
Labda rais wa watuma salaam wa mkoa wa tangaJanuary Makamba ni Rais baada ya Samia
Umeonaeee?Huyu bwana hafai, nchi itajaa mchwa
Ni ma ccm wenzakoHivi mnaipenda kweli Tanzania ?
Mnasaidiana kutafuta wateja wa Tanesco Dubai eeh!January Makamba kwa mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Labda Mbowe!Tundu Lissu ni Rais baada ya Tume kuwa huru.
Siyo kwa sasa tu, he has been denied this noble opportunity long time. Ni mtu makini, intelligent , exposed, versatile ..... you name itJanuary Makamba kwa mtazamo wangu namuona ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani, ana busara, mtulivu, si mpenda sifa bali ni mchapa kazi, si mtu wa media sana na hakurupuki kataka maamuzi yake bali ni mtu wa kujiridhisha Kwanza hivyo anafaa sana. Huyu anawajua matajiri vizuri.
Antony Mutaka anafaaa sana kuwa waziri mkuu wake mana ana UTU, mchapakazi, mbunifu, katika utendaji wake na speech zake huwa anajikita namna ya kuwakwamua watu wa kipato cha chini, ni mtu anayejitoa sana na pia hutoa maamuzi si kwa kukurupuka bali kwa kujiridhisha. Huyu anawajua watu wa hali ya chini vizuri.
Mawaziri ambao watatakiwa wawateue ili utendaji wa kazi uwe vizuri ni Paul Makonda, Bashe, Kalemani, Nape, prof Mbalawa, Lukuvi, Biteko, Dr. Bashiru, Prof Asssad, Zitto Kabwe, James Mbatia, Jussa, Fatma Karume, Jafo, Aweso, Kyombo, Ummy Mwalimu, Uttoh, Mafuru, Mchechu Prof. Lipumba na prof Kabudi.
Muunganiko mzuri wa watu masikini na matajiri ndio utaleta tija kwa ustawi wa uchumi wa nchi yetu. Iwapo patakuwa na ubaguzi au kuonewa kwa kundi mojawapo nchi yetu itakuwa bado tupo kwenye safari ndefu ya mafanikio makubwa ya kiuchumi.
Bora wakristo aseeKama ilivyo ada yetu ni mkristo kisha muislam kisha mkristo then muislam......cycle.
January awali ya yote akabatizwe.
Na kumpigia kampeni sasa ni kumkosesha vyote ataishia kuwa mjumbe tu wa bodi.
Everyday is Saturday................................😎
PolepoleLabda Mbowe!
Atagombea kupitia Chadema!Polepole
January hawezi kuwa rais maana sifa za kuwa tu rais hana
Huyo anayeteua watu kutoka kwenu wa dini moja humuoni?Kama unaongozwa na mentality ya udini sidhani Kuna siku utapata akili
Sifa gani izo alozokuwa nazo magufuli?January hawezi kuwa rais maana sifa za kuwa tu rais hana
Baada ya Samia tutakuwa na chama mbadalaJanuary Makamba ni Rais baada ya Samia