Jana jioni tume ya uchaguzi SEKOMU-SO kupitia mwenyekiti wake Bwana Samara, ilitoa majina ya kuwania urais kwa msimu wa mwaka 2015/2016 kama ifuatavyo: Jacob kitunga Dickson Mkingi na Shabani Gwao Charles nsyuka kuondolewa kwa kigezo cha G.P.A na KOnzo kukosa mgombea mwenza. nakampeni zimezinduliwa jana rasmi na siku ya uchaguzi ni tarehe 17/04/2015
kwa hali halisi ilivyo wanasekomu wote jacob anawafaa sana achaneni na Dicksoni kwani kwa asili yake tu ni mtu mbaya sana sijui wadau nyie mna maoni gani
kwa hali halisi ilivyo wanasekomu wote jacob anawafaa sana achaneni na Dicksoni kwani kwa asili yake tu ni mtu mbaya sana sijui wadau nyie mna maoni gani