JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Emmanuel Kasapa (60) Mkazi wa Mtaa wa Legezamwendo, Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora amejiua kwa kujinyonga baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na sauti za watu zikimwamuru ajiue.
Watoto wa marehemu wamesema baba yao amejaribu kujiua mara kadhaa akilalamika kusikia sauti za watu asizozielewa zikimuamuru ajiue.
Kaimu Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kariakoo, Fredrick Itogoza amesema marehemu alijaribu kujiua kwa sumu miezi mitatu iliyopita.
Chanzo: Cgfmradio
Watoto wa marehemu wamesema baba yao amejaribu kujiua mara kadhaa akilalamika kusikia sauti za watu asizozielewa zikimuamuru ajiue.
Kaimu Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kariakoo, Fredrick Itogoza amesema marehemu alijaribu kujiua kwa sumu miezi mitatu iliyopita.
Chanzo: Cgfmradio