Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
Fundi Mchundo:
Kwa uzoefu wangu na kwa bahati yangu niliyopata ya kufanya kazi kwenye
mashirika ya kiufundi, nina amini kabisa kwamba maendeleo mengi ya kiteknologia
na sayansi yakwamishwa sana na masuala ya kisiasa na bajeti na sio ukosefu wa vichwa.
Kwa mfano viwanda vifuatavyo vingejengwa karibu ya machimbo ya chuma na makaa mawe
au kwenye ukanda wa reli ya Tazara, je Tanzania ingekuwa wapi?
-Nyumbu
-Mang'ula
-Ufi
-Kilimanjaro Machine tools
Nchi inayoongoza katika masuala ya NYUKI za umeme ni Ufaransa. Na hii inatokana
na sera zao walizifanya baada ya matatizo ya mafuta katika miaka ya 70.
Denmark na nchi zingine za Scandinavia, zimeendelea sana katika alternative energy
sio kwa sababu wanapenda au kwa sababu ni bei rahisi. Wanafanya hivyo kwa sababu sera
za nchi zao zinafanya hivyo. Na sera ikibadilika vichwa vinavyotengeneza alternative
energy ndio zitavyotumika kwa NYUKI au nguvu nyingine.
Na hakuna mtu anayeng'ang'ania Tanzania kuwa NYUKI katika kipindi cha sasa lakini kuna
umuhimu mkubwa wa watu kuanza kujifunza NYUKi kwa sababu sayansi yake haiishii katika
masuala ya masuala ya silaha au umeme.
NYUKI tech ina matumizi mengi. Watu wanatumia katika mambo ya medicine, forensic
analysis n.k.
Nchi zinazoongoza kwenye alternative energy hazikufunga milango katika research au
elimu ya NYUKI. Hawakufanya hivyo kwa sababu wanaelewa kabisa ufumbuzi wa matatizo
ya NYUKI utapatikana. Na utakapopatikana watakuwa katika nafasi nzuri kuitumia.
Masuala ya kuwa watanzania hawawezi kufanya vitu are pure prehistoric. Na hata
kama hawawezi kwa sababu za siasa au bajeti, milango isifungwe kwa wao kujifunza.
Kwa uzoefu wangu na kwa bahati yangu niliyopata ya kufanya kazi kwenye
mashirika ya kiufundi, nina amini kabisa kwamba maendeleo mengi ya kiteknologia
na sayansi yakwamishwa sana na masuala ya kisiasa na bajeti na sio ukosefu wa vichwa.
Kwa mfano viwanda vifuatavyo vingejengwa karibu ya machimbo ya chuma na makaa mawe
au kwenye ukanda wa reli ya Tazara, je Tanzania ingekuwa wapi?
-Nyumbu
-Mang'ula
-Ufi
-Kilimanjaro Machine tools
Nchi inayoongoza katika masuala ya NYUKI za umeme ni Ufaransa. Na hii inatokana
na sera zao walizifanya baada ya matatizo ya mafuta katika miaka ya 70.
Denmark na nchi zingine za Scandinavia, zimeendelea sana katika alternative energy
sio kwa sababu wanapenda au kwa sababu ni bei rahisi. Wanafanya hivyo kwa sababu sera
za nchi zao zinafanya hivyo. Na sera ikibadilika vichwa vinavyotengeneza alternative
energy ndio zitavyotumika kwa NYUKI au nguvu nyingine.
Na hakuna mtu anayeng'ang'ania Tanzania kuwa NYUKI katika kipindi cha sasa lakini kuna
umuhimu mkubwa wa watu kuanza kujifunza NYUKi kwa sababu sayansi yake haiishii katika
masuala ya masuala ya silaha au umeme.
NYUKI tech ina matumizi mengi. Watu wanatumia katika mambo ya medicine, forensic
analysis n.k.
Nchi zinazoongoza kwenye alternative energy hazikufunga milango katika research au
elimu ya NYUKI. Hawakufanya hivyo kwa sababu wanaelewa kabisa ufumbuzi wa matatizo
ya NYUKI utapatikana. Na utakapopatikana watakuwa katika nafasi nzuri kuitumia.
Masuala ya kuwa watanzania hawawezi kufanya vitu are pure prehistoric. Na hata
kama hawawezi kwa sababu za siasa au bajeti, milango isifungwe kwa wao kujifunza.