Uranium Mkuju: Serikali imetoa leseni bila kujali madai ya Kodi

Uranium Mkuju: Serikali imetoa leseni bila kujali madai ya Kodi

Hahahahhahahaah, mkuu utanivunja mbavu, me ni mtu wa Finance tuu katika mining industry, hayo nimeyajua kutokana na kupenda kujisomea article mbalimbali sababu nafanya kazi katika hii field ya mining. Sipati hata chengachenga wala vumbivumbi.

Mkuu just out of the mining industry lakini within the capital gain tax.

Hivi karibuni Barclays Africa ili-take over ABSA Group.

ABSA Group walikuwa ni mmoja wa wamiliki wa NBC na wataendelea kuwa wamiliki after the takeover.

Je, kwenye hili deal kulitakiwa kuwe na capital gain tax?

If so, nani anatakiwa kulipa hiyo capital gain tax na lini?

Kama kuna anayetakiwa kulipa capital gain tax, tayari TRA wemeshachukua chao?
 
Hii nchi bana haina mpangilio ktk matumizi ya lasili mali, madini ya zahabu, tanzanite, aridhi, gesi haya huku urenium tunauza nyote ndani ya miongo miwili (mkapa na kikwete) je vizaz vijavyo vitauza nn maana ndo jia pekee ya uchumi tulio jiwekea vilaza sisi. always we follow under weak sustainable policy. hebu mlioko karibu na watawala muwashauri.

Wewe umemaliza chumba cha kumi na mbili zama hizi za Mulugo?
 
Vipi ikiwa Uranium one watauza sehemu ya hisa napo itahitajika walipe Capital gain Tax? na kama wata-float kwenye
hizo Stock exchange market na kuongeza mtaji watapaswa kulipa kodi yeyote kutokana na watakachopata?


Kwenye hayo mauziano huko nje tunajuaje kwa hakika kwamba deal iliyofanyika ni USD 900 na si vinginevyo.
Hivi ilipaswa Mantrac waieleze Serikali kwamba tunataka kuuza mradi huu, ama wajibu wao ni kuitaarifu Serikali
kwamba tumeshauza kwa kiasi hiki?

CC: Kongosho EMT

Kuna hii habari ya January 2013. Inavyooneka Uranium One in public company lakini wanataka kwenda private. Nini implications za Uranium One kwenda private?

Uranium One to go private in $1.3bn deal

Uranium One will become the operator of the Mkuju River Project immediately upon completion of the acquisition of Mantra by ARMZ, and will be responsible for the continued advancement of the Mkuju River Project towards commencement of production.

Russia's state uranium firm has agreed to pay $1.3 billion to take Canada's Uranium One Inc private, as the successor to the Soviet Union's nuclear industry seeks to strengthen its grip on supplies.

Atomredmetzoloto and affiliate Effective Energy N.V. - together known as ARMZ - said they would buy the shares in Uranium One they do not already own in a deal valuing Canada's No.2 uranium producer at C$2.74 billion ($2.8 billion).

ARMZ, which along with affiliates currently owns 51.4 percent of Uranium One's common shares, will pay C$2.86 per share, a premium of 19 percent over the stock's Friday close.

The C$1.33 billion deal will help ARMZ consolidate control over uranium assets in the former Soviet Union, and also strengthen access to reserves in Australia and South Africa. Uranium One's business is focused in Kazakhstan, where ARMZ has also been building its asset base.

Kazakhstan is the world's top uranium producer, with more than double the output of No.2 producer Canada in 2011, data from the World Nuclear Association showed. Its output quintupled between 2004 and 2011. Toronto-based Uranium One is also the operator of the Mkuju River project in Tanzania.

ARMZ is the mining arm of Rosatom, Russia's nuclear regulator. The company was formed as the successor to the Soviet nuclear ministry, then reformed to specialise in uranium mining as well as rare and rare earth metals.

The deal includes a non-solicitation covenant, under which Uranium One will not seek other bids, as well as a right for ARMZ to match any rival offers. It also requires Uranium One to pay a termination fee equal to C$45 million under certain circumstances.

The transaction, approved by Uranium One's board, is expected to be completed in the second quarter of 2013, the company said in a statement. Canaccord Genuity Corp was the financial advisor to the independent committee that was set up by the Uranium One board for this deal, while ARMZ was advised by BMO Capital Markets.

Uranium One to go private in $1.3bn deal - URANIUM - Mineweb.com Mineweb

cc. Kongosho, TheOne
 
Last edited by a moderator:
Kuna hii habari ya January 2013. Inavyooneka Uranium One in public company lakini wanataka kwenda private. Nini implications za Uranium One kwenda private?

Uranium One to go private in $1.3bn deal

Uranium One will become the operator of the Mkuju River Project immediately upon completion of the acquisition of Mantra by ARMZ, and will be responsible for the continued advancement of the Mkuju River Project towards commencement of production.

Russia's state uranium firm has agreed to pay $1.3 billion to take Canada's Uranium One Inc private, as the successor to the Soviet Union's nuclear industry seeks to strengthen its grip on supplies.

Atomredmetzoloto and affiliate Effective Energy N.V. - together known as ARMZ - said they would buy the shares in Uranium One they do not already own in a deal valuing Canada's No.2 uranium producer at C$2.74 billion ($2.8 billion).

ARMZ, which along with affiliates currently owns 51.4 percent of Uranium One's common shares, will pay C$2.86 per share, a premium of 19 percent over the stock's Friday close.

The C$1.33 billion deal will help ARMZ consolidate control over uranium assets in the former Soviet Union, and also strengthen access to reserves in Australia and South Africa. Uranium One's business is focused in Kazakhstan, where ARMZ has also been building its asset base.

Kazakhstan is the world's top uranium producer, with more than double the output of No.2 producer Canada in 2011, data from the World Nuclear Association showed. Its output quintupled between 2004 and 2011. Toronto-based Uranium One is also the operator of the Mkuju River project in Tanzania.

ARMZ is the mining arm of Rosatom, Russia's nuclear regulator. The company was formed as the successor to the Soviet nuclear ministry, then reformed to specialise in uranium mining as well as rare and rare earth metals.

The deal includes a non-solicitation covenant, under which Uranium One will not seek other bids, as well as a right for ARMZ to match any rival offers. It also requires Uranium One to pay a termination fee equal to C$45 million under certain circumstances.

The transaction, approved by Uranium One's board, is expected to be completed in the second quarter of 2013, the company said in a statement. Canaccord Genuity Corp was the financial advisor to the independent committee that was set up by the Uranium One board for this deal, while ARMZ was advised by BMO Capital Markets.

Uranium One to go private in $1.3bn deal - URANIUM - Mineweb.com Mineweb

cc. Kongosho, TheOne

Mkuu nimeamua kufanyia mabadiliko ya ID yangu (namshukuru Invisible kwa kubadili my ID,usishangae ni mimi yuleyule Theone

Back to Topic

Ukichunguza hapo utagundua ARMZ ni kampuni ya serikali ya Russia, Sasa nadhani wanachojaribu kufanya hapo ni kupunguza dividend distribution among the share holders,

Au nahisi kuna baadhi ya investors waliamua kujitoa kutokana hali halisi ya dunia kuhusu madini ya uranium au kuna wengine wanapressure ajili ya investment risk, sasa hapo kuna risk takers ambao washaingilia kati hilo deal.

Au ni kuondoa public company within a public company, hapo ARMZ itakuwa holding company na Uranium one watakuwa wanalipoti kwa ARMZ. Kumbuka tena Uraniumone ni operators tuu kama other franchise like Hyatt regency, kempisky, serena,paramount etc.

Labda tusubirie the specific reason ya hiyo transfer, hope soon watatoa.
 
Kuna hii habari ya January 2013. Inavyooneka Uranium One in public company lakini wanataka kwenda private. Nini implications za Uranium One kwenda private?

Uranium One to go private in $1.3bn deal

Uranium One will become the operator of the Mkuju River Project immediately upon completion of the acquisition of Mantra by ARMZ, and will be responsible for the continued advancement of the Mkuju River Project towards commencement of production.

Russia's state uranium firm has agreed to pay $1.3 billion to take Canada’s Uranium One Inc private, as the successor to the Soviet Union’s nuclear industry seeks to strengthen its grip on supplies.

Atomredmetzoloto and affiliate Effective Energy N.V. - together known as ARMZ - said they would buy the shares in Uranium One they do not already own in a deal valuing Canada’s No.2 uranium producer at C$2.74 billion ($2.8 billion).

ARMZ, which along with affiliates currently owns 51.4 percent of Uranium One's common shares, will pay C$2.86 per share, a premium of 19 percent over the stock's Friday close.

The C$1.33 billion deal will help ARMZ consolidate control over uranium assets in the former Soviet Union, and also strengthen access to reserves in Australia and South Africa. Uranium One's business is focused in Kazakhstan, where ARMZ has also been building its asset base.

Kazakhstan is the world's top uranium producer, with more than double the output of No.2 producer Canada in 2011, data from the World Nuclear Association showed. Its output quintupled between 2004 and 2011. Toronto-based Uranium One is also the operator of the Mkuju River project in Tanzania.

ARMZ is the mining arm of Rosatom, Russia's nuclear regulator. The company was formed as the successor to the Soviet nuclear ministry, then reformed to specialise in uranium mining as well as rare and rare earth metals.

The deal includes a non-solicitation covenant, under which Uranium One will not seek other bids, as well as a right for ARMZ to match any rival offers. It also requires Uranium One to pay a termination fee equal to C$45 million under certain circumstances.

The transaction, approved by Uranium One's board, is expected to be completed in the second quarter of 2013, the company said in a statement. Canaccord Genuity Corp was the financial advisor to the independent committee that was set up by the Uranium One board for this deal, while ARMZ was advised by BMO Capital Markets.

Uranium One to go private in $1.3bn deal - URANIUM - Mineweb.com Mineweb

cc. Kongosho, TheOne

Mkuu nimeamua kufanyia mabadiliko ya ID yangu (namshukuru Invisible kwa kubadili my ID,usishangae ni mimi yuleyule Theone

Back to Topic

Ukichunguza hapo utagundua ARMZ ni kampuni ya serikali ya Russia, Sasa nadhani wanachojaribu kufanya hapo ni kupunguza dividend distribution among the share holders,

Au nahisi kuna baadhi ya investors waliamua kujitoa kutokana hali halisi ya dunia kuhusu madini ya uranium au kuna wengine wanapressure ajili ya investment risk, sasa hapo kuna risk takers ambao washaingilia kati hilo deal.

Au ni kuondoa public company within a public company, hapo ARMZ itakuwa holding company na Uranium one watakuwa wanalipoti kwa ARMZ. Kumbuka tena Uraniumone ni operators tuu kama other franchise like Hyatt regency, kempisky, serena,paramount etc.

Labda tusubirie the specific reason ya hiyo transfer, hope soon watatoa.
 
Tanganyika haina mwenyewe sababu haipo na kama ipo inaishi kwenye mashimo ya migodi wacha wamalize rasilimali za tanganyika mpaka watanganyika watakapo amkaa
 
Ndg wana Jamii Forum;


Nilisoma kauli ya Mhe Zitto kabwe kuhusu kutolewa kwa leseni ya uchimbaji wa madini ya Urani kwa Mradi wa mto Mkuju. Nimefanya uchunguzi na kijiridhisha hivyo ninapenda kutoa mchango wangu ili wengine wasipotoshwe kama ambavyo hata mimi nilikuwa naelekea kupotoshwa.


Kwanza; nina mshukuru kwa mchango wake kuhusu swala la leseni ya Mradi wa Urani ambayo anasema imeshatolewa na kwamba yeye ana hoja nzito na swala hili. Kama kweli imetolewa basi; Leseni imetolewa kwa mujibu wa sheria ya madini ambayo haina masharti anayoyaelezea Mhe. Zitto. Na yeye ni mmoja wa wahusika wakubwa sana katika mchakato mzima wa sheria hii ya 2010. Yeye mwenyewe alishiriki katika Tume ya Madini iliyoundwa na kupelekea kuwa na rasimu ya sheria mpya na zaidi sana ameshiriki kuipitisha kama Mbunge.

Pili; kama TRA wana kesi Mahakamani, utoaji wa Leseni haufuti deni la Wahusika kama kweli lipo. Kwa lugha nyingine, sio kweli fedha hizo anazodai kwamba zimepotea, zitakuwa zimepotea kwa sababu ya kutolewa kwa Leseni husika.

Tatu; ni vyema Mhe. Kabwe akaelewa kuwa mchakato wa kutoa Leseni ni wa kisheria chini ya Sheria ya madini ya mwaka 2010 inayomtaka Mheshimiwa Waziri atoe Leseni ikiwa mwombaji katimiza masharti yaliyoambatishwa katika sheria hiyo. Hakuna sharti la kulipwa kwa Capital Gain Tax (CGT) kama anavyoliongelea.


Mwisho; Suala la ulipaji wa CGT halina uhusianao wa moja kwa moja na utoaji wa Leseni. Na hata kama swala hili ni halisi na la kweli, itakuwaje mabadiliko ya sheria ya mwaka 2012 yawe kigezo kwa tukio la mwaka 2011? Lakini la zaidi na la msingi nadhani Masuala hayo mawili yanatakiwa kushughulikiwa tofauti na ndivyo itakavyoendelea kufanyika. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi na kwa kuwa Serikali inazingatia utawala wa sheria tunajua ndivyo itakavyofanya. Serikali haitawali kwa kutumia utashi wa mtu anavyotaka. Kama lengo ni kushughulikia maendeleo na utawala wa kisheria basi ni vema kuheshimu sheria na kushughulikia maendeleo ya sekta na watu kwa dhati bila kupotosha umma.
 
Ndg wana Jamii Forum;


Nilisoma kauli ya Mhe Zitto kabwe kuhusu kutolewa kwa leseni ya uchimbaji wa madini ya Urani kwa Mradi wa mto Mkuju. Nimefanya uchunguzi na kijiridhisha hivyo ninapenda kutoa mchango wangu ili wengine wasipotoshwe kama ambavyo hata mimi nilikuwa naelekea kupotoshwa.


Kwanza; nina mshukuru kwa mchango wake kuhusu swala la leseni ya Mradi wa Urani ambayo anasema imeshatolewa na kwamba yeye ana hoja nzito na swala hili. Kama kweli imetolewa basi; Leseni imetolewa kwa mujibu wa sheria ya madini ambayo haina masharti anayoyaelezea Mhe. Zitto. Na yeye ni mmoja wa wahusika wakubwa sana katika mchakato mzima wa sheria hii ya 2010. Yeye mwenyewe alishiriki katika Tume ya Madini iliyoundwa na kupelekea kuwa na rasimu ya sheria mpya na zaidi sana ameshiriki kuipitisha kama Mbunge.

Pili; kama TRA wana kesi Mahakamani, utoaji wa Leseni haufuti deni la Wahusika kama kweli lipo. Kwa lugha nyingine, sio kweli fedha hizo anazodai kwamba zimepotea, zitakuwa zimepotea kwa sababu ya kutolewa kwa Leseni husika.

Tatu; ni vyema Mhe. Kabwe akaelewa kuwa mchakato wa kutoa Leseni ni wa kisheria chini ya Sheria ya madini ya mwaka 2010 inayomtaka Mheshimiwa Waziri atoe Leseni ikiwa mwombaji katimiza masharti yaliyoambatishwa katika sheria hiyo. Hakuna sharti la kulipwa kwa Capital Gain Tax (CGT) kama anavyoliongelea.


Mwisho; Suala la ulipaji wa CGT halina uhusianao wa moja kwa moja na utoaji wa Leseni. Na hata kama swala hili ni halisi na la kweli, itakuwaje mabadiliko ya sheria ya mwaka 2012 yawe kigezo kwa tukio la mwaka 2011? Lakini la zaidi na la msingi nadhani Masuala hayo mawili yanatakiwa kushughulikiwa tofauti na ndivyo itakavyoendelea kufanyika. Hii ni kwa mujibu wa sheria za nchi na kwa kuwa Serikali inazingatia utawala wa sheria tunajua ndivyo itakavyofanya. Serikali haitawali kwa kutumia utashi wa mtu anavyotaka. Kama lengo ni kushughulikia maendeleo na utawala wa kisheria basi ni vema kuheshimu sheria na kushughulikia maendeleo ya sekta na watu kwa dhati bila kupotosha umma.

Kwanza napenda kushukuru pia kwa maelezo yako ya kina. Pili naomba uondoe mawazo mgando kuwa kuhoji ni kupotosha umma. Ndio maana ya mfumo wa vyama vingi ambapo tunatazamana na kusimamiana ili kuhakikisha nchi inafaidika na utajiri wake.

Naomba utazame masuala haya; Kama biashara hii ilifanyika mwaka 2011 ni kwa nini basi biashara kama hii hii ya mwaka huo huo ya BP kwenda Puma ililipiwa Capital Gains Tax kwa sheria ya mwaka 2012? Napenda kukumbusha kuwa sheria ya CGT ilikuwapo kabla isipokuwa ilikuwa dhaifu tu. Nakumbuka nilipokuwa ninawasilisha Bungeni mabadiliko ya sheria ya kodi ya mapato kuhusu CGT nilijaribu tu kuipa nguvu ili kuzuia upoteaji mkubwa wa mapato ya Serikali. TRA wameipeleka mahakamani Mantra kwa sheria ya zamani na wala sio kwa sheria mpya. Hivyo hoja ya mabadiliko ya sheria kuto apply transaction ya mwaka 2011 inakosa nguvu kabisa.

Pili, Leseni ndio hatua ya mwisho kabisa ya nguvu ya Serikali kwenye majadiliano na kampuni za madini. Hii ni kutokana na ukweli kuwa MDA sio lazima kwa mujibu wa sheria. Hivyo kutoa leseni bila kuhakikisha kodi imelipwa ni kupoteza nguvu ya majadiliano ambayo serikali ilikuwa nazo.

Mwisho, Waziri alisema Bungeni kwa nguvu kabisa kwamba 'Leseni haitoki na haitatoka' mpaka CGT ilipwe. Sasa leseni ametoa na CGT haijalipwa. Hilo ndio nimetaka maelezo yake Bungeni.
 
Mkuu just out of the mining industry lakini within the capital gain tax.

Hivi karibuni Barclays Africa ili-take over ABSA Group.

ABSA Group walikuwa ni mmoja wa wamiliki wa NBC na wataendelea kuwa wamiliki after the takeover.

Je, kwenye hili deal kulitakiwa kuwe na capital gain tax?

If so, nani anatakiwa kulipa hiyo capital gain tax na lini?

Kama kuna anayetakiwa kulipa capital gain tax, tayari TRA wemeshachukua chao?

Mkuu EMT
Samahani kwa kuwa kimy kwenye swali lako, usidhani nimekuignore tulikuwa busy kidogo na issue ya lwakatare.

Hii ni general definition ya CGT, A capital gain is a profit that results from a disposition of a capital asset, such as stock, bond or real estate, where the amount realized on the disposition exceeds the purchase price. The gain is the difference between a higher selling price and a lower purchase price.[SUP][1][/SUP] Conversely, a capital loss arises if the proceeds from the sale of a capital asset are less than the purchase price.Capital gains may refer to "investment income" that arises in relation to real assets, such as property; financial assets, such as shares/stocks or bonds; and intangible assets such as goodwill.Some countries impose a tax on capital gains of individuals or corporations, although relief may be available to exempt capital gains: in relation to holdings in certain assets such as significant common stock holdings, to provide incentives for entrepreneurship, or to compensate for the effects of inflation.Capital Gains or Losses are not counted during National Income accounting as they only pertain to transference of rights to shares and assets and hence do not correspond to any new production activity.
Angalia na hii ya TRA Capital gains income is calculated as follows: - Value of consideration received or accruing as a result of the realisation of the interest in land or buildings less cost of acquisition less expenditure incurred on any improvement to the asset less expenditure incurred wholly and exclusively in connection with the realisation


Sasa ukisoma vizuri hayo maelezo ya maana ya CGT, Utagundua sio nchi zote duniani zinachaji CGT. Naomba kama unaweza nipa agreement iliyofanyika btn ABSA and Barcklays Africa. Hapo tutakuwa na mwanga zaidi wa kuweza kudadavua ilipaswa vipi kulipwa hiyo CGT.


 
Sasa ukisoma vizuri hayo maelezo ya maana ya CGT, Utagundua sio nchi zote duniani zinachaji CGT. Naomba kama unaweza nipa agreement iliyofanyika btn ABSA and Barcklays Africa. Hapo tutakuwa na mwanga zaidi wa kuweza kudadavua ilipaswa vipi kulipwa hiyo CGT.

Apart from the press releases about the deal, I don't have the actual agreement.
 
Back
Top Bottom