Urasimu uliopo katika mifuko ya hifadhi ya kijamii

Urasimu uliopo katika mifuko ya hifadhi ya kijamii

AeIoU

Senior Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
178
Reaction score
139
Baada ya kutungwa kwa sheria ya mabadikiko katika mifuko ya hifadhi ya kijamii na Kubaki PSSSF na NSSF kumekuwa hakuna ushindani kabisa.

Especially kwa Wazee wanapostaafu hupata shida sana kupata mafao yao kwa wakati muafaka.

Pia kwa wale ambao hawajatimiza muda wa kustaafu wamekuwa wskisumbuka sana kupata haki zao kwa kupatiwa pesa zao kwa muda muafaka.

Ni maoni yangu kuwa serikali iingilie kati kwa na kutengeneza sera nzuri ili kuhakikisha wazee wastaafu wanakipwa mapema bila usumbufu.
 
Mi najiuliza hii serikali ya chama cha mapinduzi ipo kutesa watanzania mbona imekaa kishetani haitapendi kuona kabisa watanzania wakiishi vizuri. Kulikuwa kuna haja gania ya kuvunja mifuko iliyokuwepo na kuunda mfuko moja wa PSSSF? Huu mfuko umekaa kishetani. Kulipokuwa na mifuko ya PPF, GEPF, PSPF na LAPF mambo ya mafao yalikuwa mazuri hasa mfuko wa LAPF ulikuwa unalipwa ndani ya mwezi moja. PSSSF ni mateso na majanga unakaa mwaka au miaka hakuna kulipwa. Jamani zile si pesa zetu tulizideposit? kwanini kuzi-draw inakuwa nongwa?
 
Mi najiuliza hii serikali ya chama cha mapinduzi ipo kutesa watanzania mbona imekaa kishetani haitapendi kuona kabisa watanzania wakiishi vizuri. Kulikuwa kuna haja gania ya kuvunja mifuko iliyokuwepo na kuunda mfuko moja wa PSSSF? Huu mfuko umekaa kishetani. Kulipokuwa na mifuko ya PPF, GEPF, PSPF na LAPF mambo ya mafao yalikuwa mazuri hasa mfuko wa LAPF ulikuwa unalipwa ndani ya mwezi moja. PSSSF ni mateso na majanga unakaa mwaka au miaka hakuna kulipwa. Jamani zile si pesa zetu tulizideposit? kwanini kuzi-draw inakuwa nongwa?
Hao hawana tofauti na mashetani.
 
Back
Top Bottom