Urban and rural water supply: Kenya vs Tanzania

https://www.facebook.com/


MAUWASA yaanza ujenzi wa tanki la maji lenye ujazo wa lita miloni 1.​

itv.co.tz/news/mauwasa-yaanza-ujenzi-wa-tanki-la-maji-lenye-ujazo-wa-lita-miloni-1
7. August 2021
Back to top


Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira wilayani Maswa mkoani Simiyu (MAUWASA) imeanza kujenga tanki kubwa la maji lenye ujazo wa lita miloni moja ambalo likikamilika litaondoa tatizo la maji linalowakabili wananchi wa wilaya ya Maswa.
.
ITV imetembelea na kujionea ujenzi wa tanki hilo linalojengwa katika kilima cha Nyalikungu mjini Maswa na kuwakuta mafundi wazawa wakiendelea na kazi hiyo ambapo mafundi hao walisema kuanza kwa ujenzi huo kumewasaidia kupata ajira kwani wafanyakazi wote wametoka wilayani hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…