Urefu (height) kutoka kwenye sakafu hadi kwenye ceiling

Urefu (height) kutoka kwenye sakafu hadi kwenye ceiling

Nunua vitu jaza chumba hicho mkuuu,ukinunua kabati tu mwangwi ukatika

shida ni kwamba hicho chumba kama nakiona hapa kwenye mitambo yangu [emoji2089]

Itakuwa na yenyewe inachangia, maana sebule ilikuwa na kochi peke yake
 
Rejea kichwa cha habari,

Kwa kawaida nyumba inatakiwa kuwa na urefu kiasi gani kutoka kwenye floor hadi kwenye ceiling. Nimeinhia nyumba moja hapa ni ndefu sana kiasi kwamba ukiongea sauti inakuwa na mwangwi (echo).

ASANTE
Sababu ni kwamba. Chumba kiko tupu.

Ukiweza kitanda na kabati tu mwangwi inaisha.
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Rejea kichwa cha habari,

Kwa kawaida nyumba inatakiwa kuwa na urefu kiasi gani kutoka kwenye floor hadi kwenye ceiling. Nimeinhia nyumba moja hapa ni ndefu sana kiasi kwamba ukiongea sauti inakuwa na mwangwi (echo).

ASANTE
Sm 170 mpaka 150 inategemea na siling utaweka ya aina ipi. Hiyo itatoa maelekezo
 
Mpe fundi seremala anajua namna ya kurekebisha kitanda kwa kukuwekea hen'ga katika mifumbati yate miwili huta angaika tena.
Samahani mkuu, namaanisha hizi taa
images.jpeg
 
Back
Top Bottom