Urefu wa kamba yako ni mshahara wako na stahiki nyingine kisheria. Msimlishe maneno Rais Samia

Mimi ni mtaalamu
Mimi ni mtaalamu wa kusikia mtu kasema nini alafu nahusianisha na mazingira hivyo niko sahihi 100% kuna wakati jamii inakuwa na watu wa uelewa wastani ili kuwaelewesha inahitaji muda
Mkuu unaharibu kwani watu walisikia na kuelewa wewe ndio unapotosha
 
Na wale wanaokula na kuvimbiwa nao wanavimbiwa kwa mishahara yao siyo...!!
 
Kwa akili zako kuna mtu wa chukua check number yako hadi utuambie ndio urefu wa kamba yako? Vp mfano wa Mh Rais kwamba waziri, katibu mkuu na naibu waziri wote wanagombea kupata vitalu huko maliasili nayo ni mishahara yao? Kama hujui kitu kaa pembeni soma hoja za watu utapata mawazo mbadala.
 
Mimi ni mtaalamu
Mimi ni mtaalamu wa kusikia mtu kasema nini alafu nahusianisha na mazingira hivyo niko sahihi 100% kuna wakati jamii inakuwa na watu wa uelewa wastani ili kuwaelewesha inahitaji muda
Umemlisha maneno Rais, hakuzungumzia mshahara kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…