Yani kama nyie mlivyo kurudia mashati.........Kweli kabisa! Ndivyo walivyo!
Hawawezi kukuelewa ila mimi nimekuelewa yaani ni shida! Mimi nikitaka kuwahi ibadani nguo huwa naandaa jumamosiHamjui ni shida gani tunapata.......mnadhani kuona nguo ni rahisi eeeh.........asubuhi tunachelewa kazini kwa sababu nguo huwa hazionekani.........
Hapa najua hamtaelewa ila wanawake tutaelewana...........