Urembo: Kabati limejaa na bado huoni nguo ya kuvaa

Urembo: Kabati limejaa na bado huoni nguo ya kuvaa

Mmmmhhh hilo ni tatizo natural sijui kama linatibika aiseeee kama dawa ipo naomben [emoji124]
 
Hamjui ni shida gani tunapata.......mnadhani kuona nguo ni rahisi eeeh.........asubuhi tunachelewa kazini kwa sababu nguo huwa hazionekani.........
Hapa najua hamtaelewa ila wanawake tutaelewana...........
Umeonaeee,kila unayoshika unaona kama ndo umeivaa jana tu.
 
Sio kazi nyepesi,tuacheni tu...

Vinginevo muwe mnatusaidia kuchagua,nusu saa inaweza katikia kwenye nguo tu
 
Hamjui ni shida gani tunapata.......mnadhani kuona nguo ni rahisi eeeh.........asubuhi tunachelewa kazini kwa sababu nguo huwa hazionekani.........
Hapa najua hamtaelewa ila wanawake tutaelewana...........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni tabu sana, kuna kipindi nilichoka kutafuta nguo za kuvaa, Jumamosi moja nilizibeba nikazituma kijijini kwetu, zingine nikapeleka kanisani, nikaanza upya kununua. Wanawake tu ndio wataelewa hili.
 
Hamjui ni shida gani tunapata.......mnadhani kuona nguo ni rahisi eeeh.........asubuhi tunachelewa kazini kwa sababu nguo huwa hazionekani.........
Hapa najua hamtaelewa ila wanawake tutaelewana...........
Yaani huu huwa ni mtihani mzito acha tu, naweza nyoosha 4 na nisizivae zote nikatafuta nyingine[emoji134]
 
Sio tu Harusi, hata siku za kawaida. Unashangaa mdada analalamika hana nguo, ukiangalia kabatini kwake zipo kibao na hakuna hata moja mbaya, sasa sijui huwa wanatakaga nini. Labda wanachoka baada ya kuzivaa kwa muda.

Ni bora wawe wana empty kabati kila baada ya muda na kuleta stock mpya ndani
Na kuna zile unanunua na huvai kabisa.
 
images-1.jpeg

swissme
 
Kwakweli hiki kipengele ni kigumu sana cha kutafuta nguo ya kuvaa
 
Back
Top Bottom