urembo mwiingine naona ni kama uzombie tu!!

Zinafaa kumenyea ndizi? Sikuizi usipoiga swaga unaonekana mshamba na usiyependa maendeleo, mngeiga ya maana afadhali,
 
mkuu, assume huyo ndo umezimika sana kwake! halafu hataki badilika hata nukta!


Mkuu

Ukweli itabidi nianze kutoa elimu kwa umma kwa huyo Madame mpaka anielewe twende sawa sawia
 
heheheeeee!hua zinakatwa bwna
haiwezekani kutembea na kucha ka jini
wabandikaji tupo wengi zikikatwa wala hutojua ni bandia!!
 
heheheeeee!hua zinakatwa bwna
haiwezekani kutembea na kucha ka jini
wabandikaji tupo wengi zikikatwa wala hutojua ni bandia!!

siku nikikukamata umeweka huu uchafu even by mistake..!!

btw, usije ukafanya hivyo sweetheart..!!


for you Passion Lady!!
 
Last edited by a moderator:
na soksi zenyewe ziwe za chuma......za kawaida haziwezi vumilia aisee
 
muwekee simba mbele uone ka hazijabanduka zenyewe izo
 

switat ina maana hutaki
nijirembe?si wanasemaga mwanamke
kujimake jamani,unataka niwe kama kikongwe aaakhuuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…