urembo mwiingine naona ni kama uzombie tu!!

urembo mwiingine naona ni kama uzombie tu!!

too much is harmful you women..!!

1393649_10152060860537808_817076354_n.jpg

hakika anatisha
 
Lete stori mkuu,ilikuwaje?

Ilikuwa ni kwenye harusi, sasa wakati bi harusi anamlisha chakula bwana harusi kumbe kucha ikabanduka na kujichanganya na tonge la chakula.

Bwana harusi naye akabugia pasipo hata kutafuna shehena ya tonge vizuri, jamaa akapaliwa na kujikuta kakosa hewa.

Kilichofuata ni huzuni...
 
me sitaki bwana sitaki naenda kuinyima nguvu nanilii ya Excel tuone ikiona yako tu inalala........ watu8 naomba msamahaa sikumwelewa mwanao ..........

unataka kuwa wa pili miss chagga?

mbona ntafaidi miziwa mieeee!!!

mwaka huu kweli ndoa za mitara zitaniua..!!

hebu mniwache kwanza nimfaudu mke wangu wa kwanza bana!!

gegedeo langu hata lirogweje, ndio kwanza linavunja miamba na kutoa maji ya dhahabu!!!
 
Last edited by a moderator:
Mmmh!!! unaolewa tena daughter?

yes dady!!mkweo Ruttashobolwa
mwezi wa nne huu simuoni,nikimtafuta
kwa simu anadai kazi zimembana,na mm nahitaji
raha ya ndoa,sina budi kuolewa na mme wa pili!!
we Excel njoo msalimie baba mkwe wako mtarajiwa!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom