urembo mwiingine naona ni kama uzombie tu!!

urembo mwiingine naona ni kama uzombie tu!!

inawezekana mkuu!!

kutembea na silaha sio lazima uwe na pistol bana!

Ilikuwa ni kwenye harusi, sasa wakati bi harusi anamlisha chakula bwana harusi kumbe kucha ikabanduka na kujichanganya na tonge la chakula.

Bwana harusi naye akabugia pasipo hata kutafuna shehena ya tonge vizuri, jamaa akapaliwa na kujikuta kakosa hewa.

Kilichofuata ni huzuni...
 
Ilikuwa ni kwenye harusi, sasa wakati bi harusi anamlisha chakula bwana harusi kumbe kucha ikabanduka na kujichanganya na tonge la chakula.

Bwana harusi naye akabugia pasipo hata kutafuna shehena ya tonge vizuri, jamaa akapaliwa na kujikuta kakosa hewa.

Kilichofuata ni huzuni...

oohh!!

iam sorry for the guy! mikucha mpaka siku ya kufunga ndoa??.. kweli kuwa zombie sio lazima unyonye damu!
 
Hahaha, kuna binti alipofuka wakati wa mapambo ya send off. Wamebandika super glue kwenye kope, ikapofua macho.
 
oohh!!

iam sorry for the guy! mikucha mpaka siku ya kufunga ndoa??.. kweli kuwa zombie sio lazima unyonye damu!

Ushindani wa soko ni mgumu.kujitangaza muhimu kwan kuna mpa mtu confidence.
Ila kuzaliwa mwanuame ni faida jaman tuache ushabiki.
 
too much is harmful you women..!!

1393649_10152060860537808_817076354_n.jpg

daah,,,mkuu nilidhani reki....
Hard_rake.jpg
 
si kaingia kwa ofisi mpaka anataka kutoboa vioo bana!

yani wa hivi hata kumkumbatia ni risk sana..! anaweza sepa na ngozi ya vidole!!

jamani ndo kilichonifanya nimrukie mie huyo hizo kucha nazipenda mpaka basi
 
Back
Top Bottom