inawezekana mkuu!!
kutembea na silaha sio lazima uwe na pistol bana!
Ilikuwa ni kwenye harusi, sasa wakati bi harusi anamlisha chakula bwana harusi kumbe kucha ikabanduka na kujichanganya na tonge la chakula.
Bwana harusi naye akabugia pasipo hata kutafuna shehena ya tonge vizuri, jamaa akapaliwa na kujikuta kakosa hewa.
Kilichofuata ni huzuni...
Ha ha ha!Hapo una kazi ya kununua net za mbu kila siku .....!! Labda uwe unamvisha soksi muda wa kulala.
oohh!!
iam sorry for the guy! mikucha mpaka siku ya kufunga ndoa??.. kweli kuwa zombie sio lazima unyonye damu!
Ushindani wa soko ni mgumu.kujitangaza muhimu kwan kuna mpa mtu confidence.
Ila kuzaliwa mwanuame ni faida jaman tuache ushabiki.
we excell picha ya mama jose umeitoa wapi??
Hahaha, kuna binti alipofuka wakati wa mapambo ya send off. Wamebandika super glue kwenye kope, ikapofua macho.
ayaaaa!!!??
si kaingia kwa ofisi mpaka anataka kutoboa vioo bana!
yani wa hivi hata kumkumbatia ni risk sana..! anaweza sepa na ngozi ya vidole!!
too much is harmful you women..!!
daah,,,mkuu nilidhani reki....
najaribu kuangalia kama ana fangasi sioni...
jamani ndo kilichonifanya nimrukie mie huyo hizo kucha nazipenda mpaka basi