shabaan Dogo
Senior Member
- Apr 27, 2014
- 197
- 79
Habari ndugu nina miaka 35 lkn muonekano wangu naonekana kama mzee wa miaka 80 inasababishwa na nini? Au inaweza kua ugonjwa au VIP na nifanye nn niweze kuendana na umri wangu wakubwa zangu wote wanaonekana wadogo kwangu naombeni msaada pls.....