Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi urembo wangu umevuka mipaka, wanaume wanahangaika sana kunipata adi nawahurumia kuna wanaonihonga viwanja wengne magari adi wengne wameacha adi familia zao kunipata mie kichwaBOGA. Sijui wanavutika kwa fesi yangu pua ya kitusi, au pengne uno langu matata.
Au ni K yangu yenye hadhi ya 5G au labda ni haya mautundu yangu sauti mtetemo nyembamba ya huba na ufundi wangu kwa kitanda jamani nawaonea huruma wanaume wanavoteseka walah wengine mpaka wanalia...
Majuzi kati hapa nime-cause ajali pale kiprefuti Temeke hospitali nashuka kuegesha gari yangu si akapita mbaba mmoja macho kodoo kwa msambwanda wangu si akagongwa sijui kafa au hata sijui.
Washajiua wakaka watatu kwa kuwakataa.
Kuna mengine unasoma tu unakausha kwa sababu hata kuomba picha ni kupoteza muda tu [emoji16][emoji16][emoji16]Hujaomba picha?
Mrembo mwenye K yenye hadhi ya 5G anko halafu anajiita KichwaBOGA? Siamini ankooo. Badala ya kuvutika nimekakasika [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]anko na we umevutika [emoji23][emoji23]
Username checks out, lol.Jina lako linaendana sana akili zako, "kichwaBoga" aiseee! 🤔
Let's meet at the top, cheers 🥂
Kuna mengine unasoma tu unakausha kwa sababu hata kuomba picha ni kupoteza muda tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Hujambo lakini?
And the footprints are checked out, over! 😃Username checks out, lol.
boraMrembo mwenye K yenye hadhi ya 5G anko halafu anajiita KichwaBOGA? Siamini ankooo. Badala ya kuvutika nimekakasika [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nzuri mno...Mie nasubiri mtu aombe picha,sijui ataweka?
Sijambo,habari za sasa?
😂😂😂Kipurefti ndio nini?
Watakua wanakupendea kiinglish chako 'razma'
Ukifika miaka 50 kwisha habari yako....hapo wanaume tukifika umri huo tunatoka na binti yako...Nahisi urembo wangu umevuka mipaka, wanaume wanahangaika sana kunipata adi nawahurumia kuna wanaonihonga viwanja wengne magari adi wengne wameacha adi familia zao kunipata mie kichwaBOGA. Sijui wanavutika kwa fesi yangu pua ya kitusi, au pengne uno langu matata.
Au ni K yangu yenye hadhi ya 5G au labda ni haya mautundu yangu sauti mtetemo nyembamba ya huba na ufundi wangu kwa kitanda jamani nawaonea huruma wanaume wanavoteseka walah wengine mpaka wanalia...
Majuzi kati hapa nime-cause ajali pale kiprefuti Temeke hospitali nashuka kuegesha gari yangu si akapita mbaba mmoja macho kodoo kwa msambwanda wangu si akagongwa sijui kafa au hata sijui.
Washajiua wakaka watatu kwa kuwakataa.
asikitika mtoa mada hanaUzuri/urembo unakamilika ukiwa na akili