Urembo ulionishinda mimi.....

Afadhali yako, mshukuru Mungu maana wanawake wenzio wamekuwa kama mahayawani fulani loooh!
 
Mkuu nitafute ninashida nawe nahisi ndio wakunifaaa kwa shida na raha .

Njoo mrembo Evelyne

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Daaah ngoja nije PM fasta nisiharibu uzi

Hata kama unakula samaki alimradi una rasta za asili zile za kihabeshi nakupa godown langu tegeta gari na nyumba ya urithi na moyo wangu kwenye kisosi kabisa hahaaa
Na bangi navuta....😀
 
Vipi Kuchora tatoon , Kwenye matiti, Shingoni,kwenye makalio na kwenye Mikono.. Utafiti wangu Mdogo Mwanamke anayependa dread hajawahi kuwa salama na uchoraji wa Tatoooo
[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Mkuu nitafute ninashida nawe nahisi ndio wakunifaaa kwa shida na raha .

Njoo mrembo Evelyne

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Shida zako baki nazo, ila kwa raha nitafute
 
Aseeeeee huko kama mim

Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
 
hahahha ukienda mbeya wanawake weng ni wa PINK! yaan kwasabb ni weusi wanajichubua had wanakuwa pinky! hahaha hata iringa wamama wanaopasua mbao wako hvyo wanajiitaga mama mbao!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Sent from my SM-A800F using JamiiForums mobile app
 
Mke wangu tangu namkuta kijijini sigimbi hadi leo sijawahi ona wg kichwani mwake... Nadhani naye hapendi kama mimi... Usifikiri jana, hahahahahaha tushazeekeana.....
 
Mke wangu tangu namkuta kijijini sigimbi hadi leo sijawahi ona wg kichwani mwake... Nadhani naye hapendi kama mimi... Usifikiri jana, hahahahahaha tushazeekeana.....


lakin mkitoka nje mnatongoza hao wavaa mawig!lol!
 
Ha Ha Ha! Siku moja tunabadili mboga.

We unataka tule Mlenda mwidu na nguluka kila siku? [emoji28] [emoji28]


hahahaa mboga za mkoa fulan hizo arghhhhhh hata njaa huwa inakata aic!
bas km mnapenda kubadilisha mboga si muwanunulie wake zenu sasa hzo wigs!walau mara moja moja wanabadilika!
 
No.1 mpaka 3 havinipi shida naweza shonea wigi(simple) Mara moja moja.Kucha pia naeza bandika mara moja Moja sana. Sio mpenzi sana wa kubandika kucha hasa mikononi kwa sababu nina vidole virefu kwa asili.
Kubandika kope sijawai na nnaogopa.Kujichubua sipendi kabisa nna karangi kangu kaasili hakaitaji mkorogo kwakweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…