Urembo ulionishinda mimi.....

Urembo ulionishinda mimi.....

Mimi mwanamke akiwa na urembo wowote ambao sio natural simtaki kabisa, mke wangu nikishampiga marufuku kuweka artificial ornaments, yaani kitandani atalala peke yake simkumbatii..

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwanamke akiwa na urembo wowote ambao sio natural simtaki kabisa, mke wangu nikishampiga marufuku kuweka artificial ornaments, yaani kitandani atalala peke yake simkumbatii..

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app


atakumbatiwa tu usihofu!
 
Mie napenda mwanamke ajipende na ajirembe lakini uliyoyaandika hapa kuhusu urembo yote siyapendi hata chembe.

Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....

1: kupaka wanja kwenye nyusi

Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.

2: kuvaa wig/kushonea weaving

Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.

3: kubandika kucha

Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.

4: kubandika kope

Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya

5: kupaka cream/kujichubua

Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....

Wewe huwezi nini?

Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
 
Bikini kwangu ni kero


mie zaman iilkua my fav,ukinenepa bikini zinaumiza sana! nilichogundua zile zenye mkanda mnene haziumiz km mkanda mwembamba ukiwa mnene fulan na msambwanda ukivaa hizo nene haiumizi! nyembamba tuwaachie mamis!inasitiri ukivaa nguo ya kushika nmwili huwez kwepa!
 
i
😀😀😀
Mi hata sijamuelewa alivosema kutinda nyusi na kuvaa wig, au ID anashare na wifi


i wish huu uzi wangeshare wanawake alone weng wangefunguka maana humu kuna watu wanajitia wajuviiiii pye!
 
mie zaman iilkua my fav,ukinenepa bikini zinaumiza sana! nilichogundua zile zenye mkanda mnene haziumiz km mkanda mwembamba ukiwa mnene fulan na msambwanda ukivaa hizo nene haiumizi! nyembamba tuwaachie mamis!inasitiri ukivaa nguo ya kushika nmwili huwez kwepa!
vikamba vinaniumiza
 
Haya tueleze urembo gan unaupenda na upi huupendi! wapi [HASHTAG]#natural[/HASHTAG] garla jaman!
Binafsi napenda urembo ila sio wa bandia
Sheria yangu namba 1 ni kujiweka msafi wakati wote kwa kuoga maji yaliyoungwa japo moja ya viungo vya marashi
2.Napenda wanja ila sio ule wa kuchora baada ya kutinda nyusi hapana ule siuwezi na hata kubandika kope siwezi
3. Napenda nywele asilia pia naziongezea na vikorombwezo kiasi ili ziwake, ziiteee
N.B hapa nilipo nna short hair
4.napenda kucha asili za wastani, si unajua tena ukiwa mama kupika,kuosha vyombo kufua ni kazi yako kwaiyo siuwezi huo urembo wa kubandika kucha
 
mie zaman iilkua my fav,ukinenepa bikini zinaumiza sana! nilichogundua zile zenye mkanda mnene haziumiz km mkanda mwembamba ukiwa mnene fulan na msambwanda ukivaa hizo nene haiumizi! nyembamba tuwaachie mamis!inasitiri ukivaa nguo ya kushika nmwili huwez kwepa!

Vile vi G-whatever sasa....niliwahi kuletwa mtu akajua amenizawadiaaa....nikatinga bwana...kupita barabarani nahisi watu wote wananistukia nimevaa kamba....halafu kikamba chenyewe nikawa naona kama kinasugua maeneo tata...Looh...nikavitupia kabatini na kujisemea gunia hili la ushamba sitalitua kamwe...nitaendelea kulibeba daima....
 
Madame Eve, mimi sijawahi fanya vyote ulivyotaja! Am natural naturally yaani kuna wakati nayoa nywele weee nikianza kusuka inanilazimu kusuka rasta mara chache hadi zikue bado naona kero. Kutinda nyusi na wigi naona kama jini hivi , kucha zakubandika kama zimwii daaahhh @hashtaggg#teamnaturalbeauty#
 
Back
Top Bottom