sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Mimi mwanamke akiwa na urembo wowote ambao sio natural simtaki kabisa, mke wangu nikishampiga marufuku kuweka artificial ornaments, yaani kitandani atalala peke yake simkumbatii..
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Jf haiishi vituko hahaha huyu John atakua msukuma huyu teh teh tehJohn nawe unavaa wig?
Jf haiishi vituko hahaha huyu John atakua msukuma huyu teh teh teh
Teh teh teh yaani acha tu shogangu!hahahahha unautan na faru john ladyAJ!
Teh teh teh yaani acha tu shogangu!
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
😀😀😀Jf haiishi vituko hahaha huyu John atakua msukuma huyu teh teh teh
Bikini kwangu ni kero
😀😀😀
Mi hata sijamuelewa alivosema kutinda nyusi na kuvaa wig, au ID anashare na wifi
vikamba vinaniumizamie zaman iilkua my fav,ukinenepa bikini zinaumiza sana! nilichogundua zile zenye mkanda mnene haziumiz km mkanda mwembamba ukiwa mnene fulan na msambwanda ukivaa hizo nene haiumizi! nyembamba tuwaachie mamis!inasitiri ukivaa nguo ya kushika nmwili huwez kwepa!
Binafsi napenda urembo ila sio wa bandiaHaya tueleze urembo gan unaupenda na upi huupendi! wapi [HASHTAG]#natural[/HASHTAG] garla jaman!
Ckuiz kumbe umenenepa had vinakuumiza?vikamba vinaniumiza
mie zaman iilkua my fav,ukinenepa bikini zinaumiza sana! nilichogundua zile zenye mkanda mnene haziumiz km mkanda mwembamba ukiwa mnene fulan na msambwanda ukivaa hizo nene haiumizi! nyembamba tuwaachie mamis!inasitiri ukivaa nguo ya kushika nmwili huwez kwepa!
hahahahaha jina lako lina herufi ngapiBasi sawa..Niweke mwanzoni nisipange foleni sana
khaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Chakujifunza ni kwamba pipi haijui utamu wake, na tumbo haliendelei kupata utamu wa pipi baada ya kumezwa....Hahahahahaaaaaaaaaa
hahahah wewe tuNitazingatia nami nitashiriki ili nisijekosa haki ya kupiga kura.
Si hizo 6 tu..Mbona kama unataka kuanza fitnahahahahaha jina lako lina herufi ngapi
Sent From my C5 wereva