Urembo ulionishinda mimi.....

Urembo ulionishinda mimi.....

joto na hizo nywele sasa
wanaume watakua wanapata tabu muda wa kulala
Kila style ya nywele ina muda wake sio kila siku uvae wig ila kwa mwanamke kua nalo ni muhimu sana

Kutokana uzi wako lazima utakua na rangi ya maji ya kunde au mweusi tii.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Kila style ya nywele ina muda wake sio kila siku uvae wig ila kwa mwanamke kua nalo ni muhimu sana

Kutokana uzi wako lazima utakua na rangi ya maji ya kunde au mweusi tii.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app


hhha unataka kusema weusi au maji ya kunde hatujipend au hatupend makorokoro mkuu??naona unatunyanyapaa live!
 
Siwez kula kama wanavyokula wanaume wa dar,mm nakula vya kutosha ndo naenda kufanya kaz
 
hhha unataka kusema weusi au maji ya kunde hatujipend au hatupend makorokoro mkuu??naona unatunyanyapaa live!
Hapana sijanyanyapaa mtu ila nimetua maelezeo ya mto uzi kujua ni mtu wa namna gani...sole kama nimekwaza mtu.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Kama zilivyo dread zako.. just style ..

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kwa mwenye interest na hivo vitu ndo anaona umuhimu, maisha yangu yote nlikua nanyoa kipara 2014 nikakiacha rasmi nikafuga dread huo umuhimu wa wig mi sijawahi uona
 
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....

1: kupaka wanja kwenye nyusi

Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.

2: kuvaa wig/kushonea weaving

Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.

3: kubandika kucha

Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.

4: kubandika kope

Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya

5: kupaka cream/kujichubua

Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....

Wewe huwezi nini?

Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Hongera....
Yaani uko kama nilivo
Urembo huo ulinishinda kitambo.
 
Hapana sijanyanyapaa mtu ila nimetua maelezeo ya mto uzi kujua ni mtu wa namna gani...sole kama nimekwaza mtu.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app


hapana hujanikwaza my dear! huenda' umekisia'au upo wrng yote yanawezqa kuwa majib
 
Back
Top Bottom