Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #121
Nakua jini mla watuNahc kwa jinsi ulivyo ukiweka na hayo makorokoro unaeza fanana na shumileta
Kila style ya nywele ina muda wake sio kila siku uvae wig ila kwa mwanamke kua nalo ni muhimu sanajoto na hizo nywele sasa
wanaume watakua wanapata tabu muda wa kulala
Yeah, rasta mla nyama.... 😀Evelyn Salt una dreadlocks?.......
Hadi scrub we umenizidi teh
Umuhimu wa wig ni upi Mpendwa?Kila style ya nywele ina muda wake sio kila siku uvae wig ila kwa mwanamke kua nalo ni muhimu sana
Kutokana uzi wako lazima utakua na rangi ya maji ya kunde au mweusi tii.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kila style ya nywele ina muda wake sio kila siku uvae wig ila kwa mwanamke kua nalo ni muhimu sana
Kutokana uzi wako lazima utakua na rangi ya maji ya kunde au mweusi tii.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Sihitaji mme labda dangaTangaza pia unatumia jamaa,.. Waoaji wakujue hauna gharama za matunzo.
Ila me kuona hilo neno SALT me akili ishawaza habari za chumvini uvinza kigomaNakua jini mla watu
Hapana sijanyanyapaa mtu ila nimetua maelezeo ya mto uzi kujua ni mtu wa namna gani...sole kama nimekwaza mtu.hhha unataka kusema weusi au maji ya kunde hatujipend au hatupend makorokoro mkuu??naona unatunyanyapaa live!
Kama zilivyo dread zako.. just style ..Umuhimu wa wig ni upi Mpendwa?
Ohooooo!!!Mimi mwanamke anayevaa wigi hata awe mzuri vipi sitongozi
Wananuka kama mzoga
Kwa mwenye interest na hivo vitu ndo anaona umuhimu, maisha yangu yote nlikua nanyoa kipara 2014 nikakiacha rasmi nikafuga dread huo umuhimu wa wig mi sijawahi uonaKama zilivyo dread zako.. just style ..
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Haha daddy Ushaanza mambo yakoNina kipara kama cha Cheyo mkuu..Nikinyoa kiduku si ntakamatwa nipelekwe Makumbusho
Hongera....Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo....
1: kupaka wanja kwenye nyusi
Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa wanja mweusi, basi nikijaribu kupaka nafuta naendelea na mambo mengine, mara chache nimejaribu wanja wa brown napaka kwa mbaaali naona unakuja kuja mdogo mdogo ntaweza.
2: kuvaa wig/kushonea weaving
Hapa nimeinua mikono, wig nilivaa mwaka flani wakati naanza kusokota dread siwezi kwenda kazini vile, nikanunua wig kwanza dukani tu naambiwa linauzwa elf 25 nikashtuka nlijua buku ten, nikanunua nikavaa mmh najiona nakua kama kanjibai, linawasha, lina joto nlipata shida, nywele zilivorefuka sijarudia tena huu urembo siuwezi kabisa.
3: kubandika kucha
Nilijaribu siku moja kutoa ushamba, naona shost angu kila siku anabandika anapendeza, akanipeleka namie nikabandika mmh siku hiyo hata kutandika kitanda nilishindwa, kuchomeka shuka kwenye godoro ikawa tabu, siku chache nikazoea, siku ya kuzibandua sasa yani zinang'olewa utadhani nimetekwa nlikua na kazi ya kupiga kelele kama kimbwa, sirudii tena sitarudia kabisa.
4: kubandika kope
Hii kujaribu tu siwezi make, nikiwaona kina mwajuma ndalandefu wanavokua huwa nacheka, kope zinasimama utadhani mtu kavaa kofia, yana wenyewe haya
5: kupaka cream/kujichubua
Hii kazi ya kujipa mateso hii, uso mweupe miguu myeusi, kuna siku nliwekewa maji ya cream bila kujua ushamba huu, nimeulizwa tu niweke maji nkajibu eeh weka nlijua labda glycerin, duh siku mbili tu nkaanza kuwa kama tumbili....
Wewe huwezi nini?
Nb: naombeni mniambie mafuta ya nywele natural, naona nywele zinakatika
Hahahaha waoaji pia wanataka challenge [emoji16]Tangaza pia unatumia jamaa,.. Waoaji wakujue hauna gharama za matunzo.
Hapana sijanyanyapaa mtu ila nimetua maelezeo ya mto uzi kujua ni mtu wa namna gani...sole kama nimekwaza mtu.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Duh....Kwa mwenye interest na hivo vitu ndo anaona umuhimu, maisha yangu yote nlikua nanyoa kipara 2014 nikakiacha rasmi nikafuga dread huo umuhimu wa wig mi sijawahi uona
Duh....
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app