Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

Kagonge sindano 5za mshipa hiyo ni UTI sugu ngoma inatambaa ikidunda basi tena RIP
 
Marne
Karne hii kweli unapata wap ujasiri wa kugonga bila kinga ,anyway tuna mawazo tofauti sana ila videmu vingi siku hz vizur ila unakuta vimezaliwa na nao ,take Care man
 
Pole kamanda ila iyo ni dear NGono
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy

Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo
hapo atakutana na UTI Komavuuu...lazima ale dozi kali
 
kapime UTI,na utapewa dawa na wataalamu huko. hiyo huwa inatokea sana ukipata damu ya hedhi ikakuingia ,huwa inajibu fasta sana.... USIOGOPE,ngoma haipatikani kwa kujamiiana
 
Nenda hospitali we mla peku. Halafu jiangalie utakufa kabla hujatimiza ndoto zako kwa kupenda penda machangu
 
Pole ulisuuza rungu lako kavu kavu akiwa period😒?, itakua ni ugonjwa uliosababishwa na hayo mauchafu yake nenda hospital, ila vipi mlipima kwanza?
Nishapiga sana Dem akiwa period kavu na sikupata tatizo lolote.

Tatizo lake sidhani km linasababishwa na kula Dem akiwa period
 
siku nyingine tumia vichwa vyote viwili...ukiona cha juu kinakutaza usiruhsu cha chini kufanya kazi akinaga akili😁
 
Hatujapima lakini huyu hana ugonjwa wowote anaonekana yuko fresh
Hapa tu ndipo ulipofeli , unampima MTU kwa macho wakati ARV's zimejaa kibaoo,
Ukichomoka hapa usirudie huo uzembe uliofanya kabisa
 
UPDATE!!! Nilipimwa ikajulikana ni UTI so nimetumia Dawa, kila kitu kipo sawa so kwa wale dada zangu tuendelee kusambaziana upendo niko safe
OK Safi sana kijana.
walikupa dawa gani??
unaweza andika hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…