BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Kwenye R panawekwa L, penye L panawekwa R tafrani tu.
We mbwa, Lungu ndio kitu gani?
We mbwa, Lungu ndio kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hamnazo zaidi ya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kweli ni hamnazo khaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena hamnazo zaidi ya
mwendazake
Umezidi kumtisha mwana[emoji28]Unajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!
😀 😀 Anaonekana yuko fresh, usipime kwa macho mzee. Wahi hospital mkuu......Hatujapima lakini huyu hana ugonjwa wowote anaonekana yuko fresh
Halafu anasahau yule Bwana 19 anasubiri tu Ujibebeshe hili Gonjwa ili umrahisishie kazi..........kwa hiyo wakati unajiuliza kuhusu Goma ujue kabisa umejiactivate na Mr.19Unajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!
Umefanya kosa sana kuuza mechi. Si ajabu umeishia kulikwaa gono. Na midamu hiyo UKIMWI ni nje nje yaani. Omba sana hilo gono lisiwe hili sugu linalosababishwa na super bugs lisilosikia antibiotics wala nini. Rungu lako litakongoroka na kuvuja mausaha yanayonuka non stop na hizo goroli zitaoza na kuporomoka huku ukiziona hivi hivi laivu bila chenga; na hakuna kitu utafanya mpaka unaRIP kwa maumivu makali sana!
Na ukibahatika kuchomoka basi hili liwe fundisho kwako. Kamwe usiuze mechi kizembe hata pisi iwe kali namna gani.
Na baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI.
Pisi kali hizi ni target ya kila msuuza rungu halafu umejipeleka kizembe tu. Umeniudhi sana mkuu. Ungekuwa hapa karibu makofi yangekuhusu wallahi [emoji51][emoji51][emoji51]
Ulipokuwa unakula kitumbua ulikuwa unajiona mjanja alafu shida yako unataka tushare, pambana na hali yako lkn nakushauri kapime U.T.I na magonjwa mengine ya ngono.Wadau wa JF habarini za siku natumaini mko poa na mnaendelea vema na majukum ya kila siku kama binadamu katika kujitengenezea mazingira ya mkono kwenda Kinywani yaani i mean mambo ya Diko
Wadau kama mnavyojua katika stage ya binadam kukua tunakutana na mambo mengi katika relationships, sex stuffs na some stuff like that ( cheating + uasherati) ambayo mengine ni mabaya na mengine ni mazuri na pia mengine ni mabaya lakin kwa upande wa family Rituals inakua ni mazuri, okay let me go straight
Kwa hiyo tuwe tunauza mechi kwa wanaotumia ARV kwa sababu wana viral load ndogo na uwezekano wa kuambukizwa ni mdogo? Hata wakiwa wanamalizia bleed tuwapige kavu kavu kama huyu baharia alivyofanya? Hopulesi kabisa !!!Mtu anayetumia ARV Ana probability ndogo ya kuambukiza HIV sababu viral load inakua ndogo
Kamwe asirudie tena kufanya huu utopolo!Umezidi kumtisha mwana[emoji28]
Anaweza akawa anatumia ARV na viral load ikawa kubwa kama hafuati mashati inayotakiwa, sababu ARV pia Ina mashati yake ya kufuata. Ila kama viral load ni ndogo wale virus wa HIV wanakua hawawezi kufanya maambukizi kwa mfano Kuna sehemu kama kwenye manii na baadhi ya liquid wanakua hawapo, in short wanakua hawana makali, na ujue kwamba kupata Ukimwi si rahisi kama unavhofikiria lakini pia ni raisi. So akili kichwani mwako.Kwa hiyo tuwe tunauza mechi kwa wanaotumia ARV kwa sababu wana viral load ndogo na uwezekano wa kuambukizwa ni mdogo? Hata wakiwa wanamalizia bleed tuwapige kavu kavu kama huyu baharia alivyofanya? Hopulesi kabisa !!!