beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 849
- 1,168
Mkuu ungekua jirani ningekupa K Vant kubwa kaka umeongea mpaka machozi yamenitoka nina majanga yangu asingekua Mungu nasema kwa herufi kubwa ASINGEKUA MUNGU ukimwi ningekua nimepata story yangu ni kama ya mshikaji nilipata pisi kali moja nikiwa maeneo ya kujidai likanielewa vibaya hata pesa halikutaka kumbe limeozaaaaaaaaaaaaa lina ukimwi pisi kali hili halikunambia uzuri nina kibamia nilikua naogelea na kingine kumbe linatumia Vizuri dawa la sivyo ningekua naishi kwa matumain hua namshukuru Mungu sana mpaka leo nayaogopa haya mapisi kali na wanawake kwa ujumla hua nikibanwa bora nikanunue ili nivae mpira mzuka wa kuwana demu tena umetoka naogopa kumuamini niende kavu nipate ngwangwaUnajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!
Umefanya kosa sana kuuza mechi. Si ajabu umeishia kulikwaa gono. Na midamu hiyo UKIMWI ni nje nje yaani. Omba sana hilo gono lisiwe hili sugu linalosababishwa na super bugs lisilosikia antibiotics wala nini. Rungu lako litakongoroka na kuvuja mausaha yanayonuka non stop na hizo goroli zitaoza na kuporomoka huku ukiziona hivi hivi laivu bila chenga; na hakuna kitu utafanya mpaka unaRIP kwa maumivu makali sana!
Na ukibahatika kuchomoka basi hili liwe fundisho kwako. Kamwe usiuze mechi kizembe hata pisi iwe kali namna gani.
Na baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI.
Pisi kali hizi ni target ya kila msuuza rungu halafu umejipeleka kizembe tu. Umeniudhi sana mkuu. Ungekuwa hapa karibu makofi yangekuhusu wallahi [emoji51][emoji51][emoji51]