Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

Unajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!

Umefanya kosa sana kuuza mechi. Si ajabu umeishia kulikwaa gono. Na midamu hiyo UKIMWI ni nje nje yaani. Omba sana hilo gono lisiwe hili sugu linalosababishwa na super bugs lisilosikia antibiotics wala nini. Rungu lako litakongoroka na kuvuja mausaha yanayonuka non stop na hizo goroli zitaoza na kuporomoka huku ukiziona hivi hivi laivu bila chenga; na hakuna kitu utafanya mpaka unaRIP kwa maumivu makali sana!

Na ukibahatika kuchomoka basi hili liwe fundisho kwako. Kamwe usiuze mechi kizembe hata pisi iwe kali namna gani.

Na baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI.

Pisi kali hizi ni target ya kila msuuza rungu halafu umejipeleka kizembe tu. Umeniudhi sana mkuu. Ungekuwa hapa karibu makofi yangekuhusu wallahi [emoji51][emoji51][emoji51]
Mkuu ungekua jirani ningekupa K Vant kubwa kaka umeongea mpaka machozi yamenitoka nina majanga yangu asingekua Mungu nasema kwa herufi kubwa ASINGEKUA MUNGU ukimwi ningekua nimepata story yangu ni kama ya mshikaji nilipata pisi kali moja nikiwa maeneo ya kujidai likanielewa vibaya hata pesa halikutaka kumbe limeozaaaaaaaaaaaaa lina ukimwi pisi kali hili halikunambia uzuri nina kibamia nilikua naogelea na kingine kumbe linatumia Vizuri dawa la sivyo ningekua naishi kwa matumain hua namshukuru Mungu sana mpaka leo nayaogopa haya mapisi kali na wanawake kwa ujumla hua nikibanwa bora nikanunue ili nivae mpira mzuka wa kuwana demu tena umetoka naogopa kumuamini niende kavu nipate ngwangwa
 
Kama korodani zimevimba na zinauma, basi itakuwa ni kutokana na damu ya hedhi...

Antibiotic inatosha kukuponya! Otherwise maelezo yako inaonyesha kuwa umepata gono. Ni vema ukawahi Hospital na usisahau kumchukua na huyo bibie..
 
Pole kamanda ila iyo ni dear NGono
Dawa ake. : cerftiaxozone start 1g iv
Azithromycine 500mg OD for 5/7 days
Nenda hospital watakupa ivi ila kama kama Kam nenda pharmacy

Sory lkn I'm a medical personer kwa uzoefu bado Bila vipimo
Hongera mkuu kwa kumpa faraja aisee ndo faida ya jamii forum hii yan wangejua jamaa anachopitia wasingekua wanampa maneno ya kukata moyo
 
Mkuu ungekua jirani ningekupa K Vant kubwa kaka umeongea mpaka machozi yamenitoka nina majanga yangu asingekua Mungu nasema kwa herufi kubwa ASINGEKUA MUNGU ukimwi ningekua nimepata story yangu ni kama ya mshikaji nilipata pisi kali moja nikiwa maeneo ya kujidai likanielewa vibaya hata pesa halikutaka kumbe limeozaaaaaaaaaaaaa lina ukimwi pisi kali hili halikunambia uzuri nina kibamia nilikua naogelea na kingine kumbe linatumia Vizuri dawa la sivyo ningekua naishi kwa matumain hua namshukuru Mungu sana mpaka leo nayaogopa haya mapisi kali na wanawake kwa ujumla hua nikibanwa bora nikanunue ili nivae mpira mzuka wa kuwana demu tena umetoka naogopa kumuamini niende kavu nipate ngwangwa
Mwamba wa kwnza kuweka wazi ana Kibamia
 
Mkuu ungekua jirani ningekupa K Vant kubwa kaka umeongea mpaka machozi yamenitoka nina majanga yangu asingekua Mungu nasema kwa herufi kubwa ASINGEKUA MUNGU ukimwi ningekua nimepata story yangu ni kama ya mshikaji nilipata pisi kali moja nikiwa maeneo ya kujidai likanielewa vibaya hata pesa halikutaka kumbe limeozaaaaaaaaaaaaa lina ukimwi pisi kali hili halikunambia uzuri nina kibamia nilikua naogelea na kingine kumbe linatumia Vizuri dawa la sivyo ningekua naishi kwa matumain hua namshukuru Mungu sana mpaka leo nayaogopa haya mapisi kali na wanawake kwa ujumla hua nikibanwa bora nikanunue ili nivae mpira mzuka wa kuwana demu tena umetoka naogopa kumuamini niende kavu nipate ngwangwa
Pole sana mkuu na mshukuru Mungu sana. Hiyo pesa ya K Vant wape masikini huko mtaani utabarikiwa sana.

Pisi kali hizi aka samaki wa mapambo ni uwanja wa majaribio kwa kila baharia halafu mshikaji kauza mechi kizembe tu yaani. Tena pisi yenyewe inablidi? Akitoka salama mi nashauri aokoke tu mazima kwa sababu hakuna namna!
 
Wadau wa JF habarini za siku natumaini muko poa na mnaendelea vema na majukum ya kila siku kama binadamu katika kujitengenezea mazingira ya mkono kwenda Kinywani yaani i mean mambo ya Diko

Wadau kama mnavyojua katika stage ya binadam kukua tunakutana na mambo mengi katika relationships, sex stuffs na some stuff like that ( cheating + uasherati) ambayo mengine ni mabaya na mengine ni mazuri na pia mengine ni mabaya lakin kwa upande wa family Rituals inakua ni mazuri, okay let me go straight

Few days past kama kijana nilikutana na pisi kali inshort mtoto ni mzuri amebarikiwa kila kona ya mwili wake ambapo hakuna mwanaume ambaye atamtia machoni akaacha kushangaa maajabu coz her body is too romantic Sensitive sijawah ona.

Sasa me kama mwanaume niliuelewa mchezo sikuhofia kuucheza basi nikamchombeza mtoto akakubari. Siku ya mgegedo dem akaniletea Tunda kiRoho safi but hapo sikua najua kitu km yuko fresh. Sasa katika kuendelea kula tunda kama kawaida yetu wanaume tunaonesha ufundi kwenye mwili wa mrembo ili umfurahshe ardhike mwishon nakuja shtuka naona damu zinatoka kwenye tunda [emoji527]

Heee!!! Nikastuka dem akajielezea kwamba alikua period lakini ndo ilikua siku ya mwisho kumalizia period na vitu kama hvo ambavyo wanaume wengi hatuelewi, basi mimi nikakubal nikaacha kumega mchezo nikaosha lungu langu [emoji1646] nikatulia

MATATIZO SASA YA KAANZA
Wadau wangu wa JF baada ya tukio hilo niliona nikae bila kusex kwa wik kadhaa ili nione kama nitakua sawa sexually imean lkn baada ya hizi wiki mbili nahisi mambo ambayo siyaelewi kabisa inshort nahis Lungu [emoji1646] linawasha sio kawaida afu kama nikitaka kukojoa kunakua na vimaumicu kwa mbali daah hii hali inanitisha nahisi kama nimeukwaa [emoji25]

Naomba kujua kama kuna mtu ameshapitia hali kama hii ya Lungu kuwasha namna hii au hizi ni dalili za ugonjwa gani? Au ni hali ya kawaida?? Naombeni msaada wadau nasoma comment kwa moyo mkunjufu kabisa

Na kama unajua Dawa naomba unisaidie nisije nikabaki bila[emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374]


PLEASE HELP ME GUYS [emoji25]
Usiogope mkuu. Ukweli ni kwamba yale madude ya period yana uchafu mbaya sana. so ilikuwa halali kupatwa na hiyo hali. Nilishawahi kukutana na sitiation kama hiyo yako nilipata matibabu fresh tu ilikuwa infections za UTI kali sana mpaka daktari aliniuliza mara mbili mbili nilifanyaje
 
Kama, uliamka asubuhi ukaona, dhakari inatoa maji maji, kama kamasi [emoji16] bila kupepesa hilo ni GONO.
kama unakaa unaendelea kuwashwa washwa kwenyekichwa hapo, na maji yanaendelea kutoka kiaina. Aiseee hilo ni GONO.
KUWASHWA WASHWA BILA MPANGILIO WAKATI WA KUKOJOA. NA UNAKOJOJOA KOJOA KILA MARA NA KAMKOJO KADOCHO DOCHOO....UTI
Sasa hizi ni experience tu, mkulungwa nimepitia [emoji3]

[emoji724]

MUHIMU. WAHI HOSPITALI KABLA HALI HAIJAKUA MBAYA NA KUKUADHIRI MAISHA YAKO YOTE.

UKICHELEWAA UTAKUTANA KUBWA KULIKO USWAHILINI TUNAITA.

PENADUUUUUUUU. [emoji51] NARUDIA TENA.
INAITWA PENA MDUUUUUU. [emoji23][emoji23]

Kila la kheri. Pole pia.
 
Usiogope mkuu. Ukweli ni kwamba yale madude ya period yana uchafu mbaya sana. so ilikuwa halali kupatwa na hiyo hali. Nilishawahi kukutana na sitiation kama hiyo yako nilipata matibabu fresh tu ilikuwa infections za UTI kali sana mpaka daktari aliniuliza mara mbili mbili nilifanyaje
Asante mkuu
 
Kama, uliamka asubuhi ukaona, dhakari inatoa maji maji, kama kamasi [emoji16] bila kupepesa hilo ni GONO.
kama unakaa unaendelea kuwashwa washwa kwenyekichwa hapo, na maji yanaendelea kutoka kiaina. Aiseee hilo ni GONO.
KUWASHWA WASHWA BILA MPANGILIO WAKATI WA KUKOJOA. NA UNAKOJOJOA KOJOA KILA MARA NA KAMKOJO KADOCHO DOCHOO....UTI
Sasa hizi ni experience tu, mkulungwa nimepitia [emoji3]

[emoji724]

MUHIMU. WAHI HOSPITALI KABLA HALI HAIJAKUA MBAYA NA KUKUADHIRI MAISHA YAKO YOTE.

UKICHELEWAA UTAKUTANA KUBWA KULIKO USWAHILINI TUNAITA.

PENADUUUUUUUU. [emoji51] NARUDIA TENA.
INAITWA PENA MDUUUUUU. [emoji23][emoji23]

Kila la kheri. Pole pia.
Basi itakua UTI maana nahisi mkojo umebana sio poa lkin nikienda washroom nakojoa mkojo kdg sio kawaida lakini kwenye swala la hayo maji maji asubuh nikiamka nakua swafi kabisa
 
Dah, watu mna moyoo, umega msichana siku ya kwanza bila ndomu...
 
Back
Top Bottom