Mi pia ni mweusi na wala sijawahi hata kufikiria kupaka picco sio kila fashion inatufaa watu wote lakini ngoja wadau waje tuone wanasemaje kuhusu hili.Kwa sisi wenye rangi adhimu ya kiafrika huo urembo unatuhusu? coz naona picha ni za watu wenye rangi za mitume tu, nahisi mm nikipaka itabid wananchi watumie microscope kuona hyo michoro.
Khaa[emoji1] [emoji1] huyo labda ana allergy na piccoKuna mmoja alipakwa Picco aisee siku Tatu baada ya harusi alikuwa kama kababuka daaah by the way Napenda Mdada aliyechora Heena yani nomaaa
[emoji12] unaonaje kama tukiwaacha waendelee kujichora wenyewe?Sijawahi kuona weusi wakichora
Ila hao wenye rangi ya mtume mashallah
[emoji119] Hii thread yako nitailetea zengwe(challenge) mpaka uikimbieHa ha ha
Weka picha
Sasa huyo ana pico au hina??
Japo ngozi nyeupe zimeonekana mchoro kuwakaa(kuonekana) vizuriSasa huyo ana pico au hina??