Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Kawaida sana.. Ni desturi ya mwanamke anaejipenda, kuwa mpya kila siku ili awe tofauti na mwanamke mwenzake.
^^
 
Kuna wengine ni ushamba tu ili waonekane nao wajanja..but baadhi ya makabila (like maasai) ni sehemu ya utamaduni wao::::::::na kwingine ni kwamba unauza *******
 
mganga ndo wanavaa ila kimjini mjini mtoto wa kike akivaa hivyo watu wanakwangua TIGO
 
Zinduna una miguu mizuri....nimejitahidi kukodolea macho shanga lakini macho yameishia kutazama hizo nyayo zako...
 
Last edited by a moderator:
Huu urembo naupenda sana japo napenda iwe dhahabu inavutia zaidi.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…