Urembo wangu Unawafanya watu Kutoamini Kwamba nina Virusi vya HIV

Kwa staili yake ya maisha na mahusiano ya ngono zembe, Kupata maambukizi ni halali yake.

Kupata vvu au kutopata maambukizi anaeamua ni wewe mwenyewe.
Na condom inasaidia sana aisee...sitoacha kutumia ndomu daima...ngono zembe ni hatar jaman...
 
Kwa staili yake ya maisha na mahusiano ya ngono zembe, Kupata maambukizi ni halali yake.

Kupata vvu au kutopata maambukizi anaeamua ni wewe mwenyewe.
Hiv kupima oil vip nayo
 
Mie nadhani itabidi tujue ni vigezo gani mwanamke awe navyo ili tumuite mrembo sio kitumbo na minyama uzembe
 
Amesema uzuri wake au kunona kwake ndio kunafanya watu washindwe kuamini??

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Unamjua dada anayedate Nick Mutuma?sio mbaya kama waKenya wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…