Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
- #41
Vipi wewe kitambi ya kufutia simu ipo?Unamjua dada anayedate Nick Mutuma?sio mbaya kama waKenya wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi wewe kitambi ya kufutia simu ipo?Unamjua dada anayedate Nick Mutuma?sio mbaya kama waKenya wengine
Simjui huyo labda unipe jina nim googleUnamjua dada anayedate Nick Mutuma?sio mbaya kama waKenya wengine
Mkuu mbona hiyo pisi kali hata kiwanja hapo anafaa kupewa.Hapo urembo uko wapi sasa au mie pekeangu ndio mchicha haunisaidii!?
Hahahah braza kula mboga za majani na matunda kwa wingiMkuu mbona hiyo pisi kali hata kiwanja hapo anafaa kupewa.
Kama ndio umeanza kujenga basi msingi wa nyumba unamuachia kabisa.
Wewe je?watu watofautishe urembo na uzuri.
ni mrembo ila sio mzuri
Nipo katikati ya urembo na uzuriWewe je?
Basi uko yente mamalai.Nipo katikati ya urembo na uzuri
Hahaha siku ukienda kupima unaweza kuanza kutumiaHaya mambo ya ukimwi yanakata stimu Sana Kwa kweli
Mimi siwezi kabisa kutumia kondom..Yani najiona km nimevaa mfuko,hakuna Radha yoyote
Wakinipa naziweka Kwa dust bin ahahahHahaha siku ukienda kupima unaweza kuanza kutumia
Usiusemee moyoHana urembo wowote Uyo.
Nisiusemee Moyo wa naniUsiusemee moyo
Wa wanaume wengineNisiusemee Moyo wa nani
Jitahidi uwe unapimaHaya mambo ya ukimwi yanakata stimu Sana Kwa kweli
Mimi siwezi kabisa kutumia kondom..Yani najiona km nimevaa mfuko,hakuna Radha yoyote
Mombasa wapo wadigo na wagunya wapo kama wapemba flani hivi! Pia baadhi ya maeneo ya Kenya nadhani ni kisii kuna wasomali.Tusimlaumu sana lakini maana Kenya kupata pisi ya kiwango hicho ni lazima uzunguke masaa 3 ndio unaeza ona kitu ingine
Tanasha Dona aliyezaa na Diamond sio mkenya?! Warembo wapo jamani ila sema TZ tumewazidiTusimlaumu sana lakini maana Kenya kupata pisi ya kiwango hicho ni lazima uzunguke masaa 3 ndio unaeza ona kitu ingine