Ureno kupeleka wanajeshi Msumbiji

Soma KITABU cha secret terrorist cha bill huge ,utaona KWA nini mataifa makubwa yanaanzisha migogoro sehemu zenye RASILIMALI.KWA KWELI SADC WAPO VIZURI HUWA HAWAKURUPUKI TU BALI HUWA WANAANGALIA SYSTEM YOTE NANI YUPO BEHIND THE SCENE.
 
Soma KITABU cha secret terrorist cha bill huge ,utaona KWA nini mataifa makubwa yanaanzisha migogoro sehemu zenye RASILIMALI.KWA KWELI SADC WAPO VIZURI HUWA HAWAKURUPUKI TU BALI HUWA WANAANGALIA SYSTEM YOTE NANI YUPO BEHIND THE SCENE.
Sawa mkuu
 
Soma KITABU cha secret terrorist cha bill huge ,utaona KWA nini mataifa makubwa yanaanzisha migogoro sehemu zenye RASILIMALI.KWA KWELI SADC WAPO VIZURI HUWA HAWAKURUPUKI TU BALI HUWA WANAANGALIA SYSTEM YOTE NANI YUPO BEHIND THE SCENE.
The way SADC wanavo delay kuchukua hatua ..........the more powerful wanamgambo wanakuwa
AFRICA SIJUI TUMELOGWA WAPI[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania inatafutwa hapo, target sio msumbiji ……… opinion
 
Natamani kuzisikia kauli za kizalendo kutoka kwa Watanzania wazaelendo waliokua wanalalamika watu kuokotwa kwenye viroba TZ.
 
Kwa lugha nyingine sisi bado ni makoloni ya mabeberu
 
Behaviourist hahaha... Majeshi ya SADC na ya AU yapo wapi ??? au ndo....
Wareno wanafuata Gesi....na rasilimali

1. Hilo ni zengwe limetengenezwa !!
2. Raia wa msumbiji wanadai haki zao ktk Jimbo lenye Gesi nyingi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…