Ureno watafanikiwa kutetea Euro Cup, Sioni wa kuwazuia

Ureno watafanikiwa kutetea Euro Cup, Sioni wa kuwazuia

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Timu ya Ureno chini ya nahodha Ronaldo itafanikiwa kutetea ubingwa wa mataifa ya Ulaya. Japo waliteleza kwa kujifunga mabao mawili dhidi ya Germany na yakawachanganya hadi kupoteza mechi hiyo, lakini kikosi chao kimekamilika sana.

Dalili kuwa watabeba kikombe itaonekana watakapocheza na kinara anayeshika namba moja katika ranking ya FIFA kwa sasa yaani Belgium. Belgium itakiona cha mtema kuni! Baada ya hapo ni mteremko!! Ronaldo kuibuka na kiatu cha dhahabu.
 
Kwani wengine watakuwa wanacheza rede mkuu wakati wengine wanateleza tu
 
Ureno akifuzu kwa Ubelgiji anakutana na mshindi kati ya Italia na Austria.
 
Unamjua mbappe.

unamjua ngoro kante.

Je Paul pogba

Je karim benzema.

Ain't nobody gonna stop us dude.

Hahahaa ufaransa tunabeba kombe [emoji123][emoji123][emoji123]
Siyo ngoro Kante wewe ..Andika Ngolo Said Kante a.k.a mkata umeme..
Halafu jipige kifuani sema Cheleseaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Siyo ngoro Kante wewe ..Andika Ngolo Said Kante a.k.a mkata umeme..
Halafu jipige kifuani sema Cheleseaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Ngolo Kante mkata umeme amegeuka kuwa ndio kilaza wa mashindano, mchezaji wa ovyo Zaidi toka mashindano yaanze
 
Unamjua mbappe.

unamjua ngoro kante.

Je Paul pogba

Je karim benzema.

Ain't nobody gonna stop us dude.

Hahahaa ufaransa tunabeba kombe [emoji123][emoji123][emoji123]
Wafaransa wa Majohe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ngolo Kante mkata umeme amegeuka kuwa ndio kilaza wa mashindano, mchezaji wa ovyo Zaidi toka mashindano yaanze
Unasemaje mkuu..!! Rudia Tena kusoma ulichoandika.
Hivi pale Ufaransa wangefuzu bila ya uwepo wa Kante Ngolo??
 
Unamjua mbappe.

unamjua ngoro kante.

Je Paul pogba

Je karim benzema.

Ain't nobody gonna stop us dude.

Hahahaa ufaransa tunabeba kombe 💪💪💪
Hao wote tayari amekutana nao kwenye kundi lake na hawakuwa tishio kivile! Hungary alithibitisha kuwa hayo ni majina tu! Huyo Mbape niambie kwenye mechi tatu kwenye kundi amefunga magoli mangapi?

Nikukumbushe tu kuwa Euro 2016 Ureno alibeba kombe kwà kuishinda Ufaransa fainali! Kwa hiyo Ufaransa inaweza kuwa tishio kwa wengine lakini si kwa Ureno!! Mechi ngumu ni ya Belgium tu!
 
Hapa ndo ulipoharibu...
Ile mechi Portugal alizidiwa kila kitu,,
Kiufupi, Ureno ni kibonde tu kwa Mjerumani
Magoli waliyojifunga Ureno ndiyo yaliyowabeba wajerumani na yakawachanganya Ureno. Na hiyo ni bahati mbaya ambayo mara nyingi huwa haijirudii!
 
Sijui kama ni macho yangu au ndo ukweli wenyewe, CR7 ameshafika mwisho sasa, kwa ile pace aliyokuwa nayo ujanani, siwezi kushangaa katika umri wake huu ila naona kama atafifia kwa kasi sana, ni bora apumzike kwa heshima tu, ameshafanya karibu yote kwenye soccer, lililobaki ni wazi haliwezekani, hivyo akubali yeshe tu😊 asisubiri kusajiliwa na Sheffield Utd au kwenda Uchina au US.
 
Sijui kama ni macho yangu au ndo ukweli wenyewe, CR7 ameshafika mwisho sasa, kwa ile pace aliyokuwa nayo ujanani, siwezi kushangaa katika umri wake huu ila naona kama atafifia kwa kasi sana, ni bora apumzike kwa heshima tu, ameshafanya karibu yote kwenye soccer, lililobaki ni wazi haliwezekani, hivyo akubali yeshe tu[emoji4] asisubiri kusajiliwa na Sheffield Utd au kwenda Uchina au US.
Anayeongoza kwa magoli na assist ni nani mpaka Sasa?
 
Back
Top Bottom