Ureno yatoa sarafu yenye picha ya sura ya Cristiano Ronaldo

Ureno yatoa sarafu yenye picha ya sura ya Cristiano Ronaldo

Wewe hauoni kama hii ni Artificial intelligence made image? Kabla hamjaposti huku muwe mnafatilia kwanza
Active
JamiiCheck

Ni habari iliyosambaa mitandaoni huna haja ya kuwaita mods boss. Labda usisitize aweke kama tetesi.
 

Ni habari iliyosambaa mitandaoni huna haja ya kuwaita mods boss. Labda usisitize aweke kama tetesi.
Ni habari ya kweli, ila ni commemorative coin tu, kama kumbukumbu na heshima kwa CR. Kama tulivyowahi kumweka Jellah Mtagwa kwenye stempu zetu miaka hiyo (1980s). Haitumiki kwenye malipo yoyote halali.
 
Ni habari ya kweli, ila ni commemorative coin tu, kama kumbukumbu na heshima kwa CR. Kama tulivyowahi kuweka Jellah Mtagwa kwenye stempu zetu miaka hiyo (1980s). Haitumiki kwenye malipo yoyote halali.
Ooh. Asante kwa taarifa mkuu
 
Kwetu Samatta ndio mchezaji aliyefanikiwa zaidi katika historia ya soka la Tanzania. Lakini tunavyomtreat ni aibu kabisa.
 
Huelewi hata Euro ni nini?

Mnakurupuka na stori za kuokoteza mitandaoni.

Huko shuleni mlienda kusoma Ujinga.
 

IMG-20240914-WA0098.jpg


Serikali ya Ureno imeripotiwa kuwa imetoa sarafu yenye picha ya sura ya Staa wa Taifa hilo Cristiano Ronaldo (39) kama ishara ya kutambua mchango wake katika Taifa hilo.

Sarafu yenye sura ya Ronaldo inajulikana kwa jina la “CR 7” na thamani yake ni euro 7, serikali ya Ureno imefanya hivyo kwakuwa Ronaldo ndio Mchezaji wa Taifa hilo aliyefanikiwa zaidi.

Ronaldo hadi sasa ndio Mfungaji bora wa muda wote wa Timu ya Taifa ya Ureno akiwa kafunga magoli 131 na amefunga jumla ya magoli 901 katika maisha yake ya soka.

Ina mpango wa kutoa sarafu ambayo huwa zinaitwa "commemorative coins"...sio sarafu kwa ajili ya thamani halisi ya fedha...
 
Karukeruke na wewe uone kama hata Michenzani Fc wanakusajili.
Sio lazima kila mtu acheze mpira mkuu, huo ujinga niliacha nikiwa kidato cha tatu. Ili nifocus kwenye masomo yangu.

Nikiwa sekondari nikicheza umiseta na primary umitashumta.

Mpira naujua vizuri mno.

Huyo Samata hana analolijua labda ni bahati tu inambeba lakini kuna watu wanaupiga mwingi kumzidi yeye.

Hana rekodi ya kuibeba Stars katika mchezo wowote ule,

Na huwa akipangwa kazi yake ni kutanua mikono tu kupiga mashuti hewa kudrible mpira akinyanganywa anaanguka.

Huyo boya huwezi mfananisha na mtu kama Msuva.
 
Acha uzushi mkuu. Hakuna kitu kama hicho

TUNACHOKIJUA:
Hakuna sarafu ya namna hiyo nchini Ureno.
 
Back
Top Bottom