Urgent: Natafuta mchumba

mmh:A S-confused1: avatar na INTERVIEW vyote utata
 
NINAISHI KWENYE NYUMBA YA KUPANGA MWENGE ILA NINAJENGA NYUMBA YANGU, KIMARA TEMBONI.
.[/B]

we utanifaa maana tutakuwa neighbours ukinikorofisha tu nakimbia nyumbani kusema.
 
Mpaka mtu anaenda online kutafuta mchumba either hana ulimi kabisa/bubu, au ni mhuni sana mtaa mzima infact jiji li/ushamchoka. Au ni mgonjwa.
 
mwenye 'kadigirii kamoja' hatakiwi, jee wale waitwao 'dr'!
 


 
du,sijui itakuaje,hebu naomba jibu,nipo mwaka wa pili nachukua ka degree kangu ka computing,sasa niache ili niwe mchumba?
 
Mpaka mtu anaenda online kutafuta mchumba either hana ulimi kabisa/bubu, au ni mhuni sana mtaa mzima infact jiji li/ushamchoka. Au ni mgonjwa.

sio hivyo NJ, Watu wapo bize na maisha. Kutoka asbh kurudi usiku. Vibinti vya mtaani utavionea wapi! Huendi club, msikitini wala church. Sehemu ambayo unaweza kumeet na girls/boys ni iternet. Ndio unaona umalizie hapo.
Endeleeni wala msikate tamaa.
 
du,sijui itakuaje,hebu naomba jibu,nipo mwaka wa pili nachukua ka degree kangu ka computing,sasa niache ili niwe mchumba?

usiache. Huyo mchuchu mwenyewe ana master halaf hataki hata mwenye kadrii...mmh ana ajenda gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…