Urgent!!!

Aaah! Huu uzee nao! Nishakosa rafiki tena sababu ya umri!

mmmmh! Uzee tena? Kumbuka post yako uliyosema nawe utahitaj kama ma jery muda ukifika,sa hiz unasema uzee tena? Mwongo lazima awe na kumbukumbu
 

Mimi naomba kazi ya kuendesha usahili....!
 
Tuwekee na upande wa pili pia. Namaanisha, umri wako, mrefu/mfupi, mweupe/ mweusi, elimu yako, dini yako ukiweza na kabila pia..je wewe ni mwanafunzi? Umeoa? Una mchumba?.. Maoni yako kuhusu uchaguzi wa Igunga ni yepi?

Igunga tena, dah, unaweka vigezo technic sana.
 
Kwani muda kufika kuna uhusiano gani na umri? Usiwe judgemental kihivyo! Mimi kusema muda ukifika haimaanishi kuwa nasubiri kukua! I might be waiting for something else! Why are you annoyed?

mmmmh! Uzee tena? Kumbuka post yako uliyosema nawe utahitaj kama ma jery muda ukifika,sa hiz unasema uzee tena? Mwongo lazima awe na kumbukumbu
 
Ndo imesimama, au ndo gamba linavua mwingine na unataka gombea ila haujaoa?
 

Yaani sifa zote hizo ninazo ila hiyo moja tu ndio nimekosa, jamani huwezi kureview huo umri ukaweka hadi forty forty hivi..........
 
cna kigezo iko inakuaje sasa shusha umri chini mwe!
 
Tuwekee na upande wa pili pia. Namaanisha, umri wako, mrefu/mfupi, mweupe/ mweusi, elimu yako, dini yako ukiweza na kabila pia..je wewe ni mwanafunzi? Umeoa? Una mchumba?.. Maoni yako kuhusu uchaguzi wa Igunga ni yepi?
Hahaha! magwanda utawajua tu lol!
Huyu njemba vigezo vyote hivyo KUBADILISHANA MAWAZO akitaka mpenzi au mke si itakuwa page 2-3 ?
 
hahaha! Magwanda utawajua tu lol!
Huyu njemba vigezo vyote hivyo kubadilishana mawazo akitaka mpenzi au mke si itakuwa page 2-3 ?

naandika kitabu cha kutaka mke! Hicho kijani kibichi hakikufikishi popote! Dawa yenu iko jikoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…