Urinary Tract Infections ( UTIs) Imekuwa Janga

Urinary Tract Infections ( UTIs) Imekuwa Janga

Imeshamiri sana kutokana na kuto kunywa maji mengi, kushea ndoo na kopo hasa kwa vyoo vyetu vya uswazi, pili wanawake wengine kupenda kujifucha kunako na kujisafisha ndani kwa sabuni zenye kemikali hii hufanya kuuwa bakteria wazuri wanaokinga na maradhi,
Na kutokana na umasikini tuliokuwa nao vyoo vya shimo ndio bomu kabisa kutokana na maumbile ya mwanamke alivyo na choo chenyewe kilivyo halafu aende achutame pale bahati mbaya choo kipumue ukiwa mule bakteria wasioonekana wanamwingia moja kwa moja kwenye maungio na wale wenye mzio sio kuwashwa huko ma dr wapo humu watatusaidia mengineyo.
Hakika ninazidi kuelimika kotekote chanzo na tiba/suluhisho ....

but hebu tushauriane ni nini kifanyike kwa wale ambao wanatumia choo cha shimo ili waepuke haya maambukizi?
 
wanawake wanaathirika zaidi kutokana na maumbile yao wanapojisaidia wengi wanatumia tissue kujiswafi ila kuna vijidudu vipo kwenye njia ya haja kubwa havina madhara ila vikiingiingia njia ya haja ndogo ndio vinaleta madhara
 
We jamaa uko vizuri sana

Ni kweli maabara za mtaani hasa hizi ambazo zipo attached na dispensary au private lab pekee zinagawa sana malaria na Uti ili wauze dawa.

Suluhisho la hili ni kwenda kupima hospitali kubwa ambayo naweza kusema kidogo ni complex unit.

Hapo juu nimeona kuna mtu anadai sex inaambukiza UTI kitaalam ni kwamba sio kweli sex haiambukizi UTI.

Usafi binafsi, usafi wa mazingira ni suluhisho la ugonjwa huu.

Kingine tuwe na utaratibu wa kufanya matibabu heavy tukigundulika kuwa na ugonjwa huu.fanya kipimo ukigundulika una UTI nenda mbele zaid kwa kufanya kipimo cha kuotesha wale wadudu kuwatambua na dawa itakayotumika kuwaangamiza(culture and sensitivity).

Kunywa maji mengi pia ni muhimu sana ili kuepuka ugonjwa huu. Kunywa maji ya kutosha na sio mpaka uhisi kiu no unaweza jiwekea utaratibu tu kwamba may be after masaa mawil nakunywa lita moja na ukihisi short call inakuita usijiulize nenda muda huo huo weka vitu jisafishe vizur.
Kitaalamu UTI inaweza ambikizwa kwa njia ya ngon hasa unapozini na MTU mwenye UTI no lazima uambukizwe
 
Kitaalamu UTI inaweza ambikizwa kwa njia ya ngon hasa unapozini na MTU mwenye UTI no lazima uambukizwe

Sio kweli mkuu haiwezekani before nilikuwa najua hivyo nikakutana na mtua akanieleza hilo kwamba haiwezekani.

Sikuishia happ nikapata nafasi ya kukutana na urologist mmoja ni surgeon by the way nikamtupia hilo swali akasema haiwezekani na akanipa maelezo heavy tu.

Sikuishia hapo later nikakutana na gyno mmoja hivi ni mzoefu wa siku nyingi pia akanielezea haiwezekani hiyo.

Mkuu nitarudi baadae kukupa points kwa nini sex haiwezi ku-transimit UTI
 
Sio kweli mkuu haiwezekani before nilikuwa najua hivyo nikakutana na mtua akanieleza hilo kwamba haiwezekani.

Sikuishia happ nikapata nafasi ya kukutana na urologist mmoja ni surgeon by the way nikamtupia hilo swali akasema haiwezekani na akanipa maelezo heavy tu.

Sikuishia hapo later nikakutana na gyno mmoja hivi ni mzoefu wa siku nyingi pia akanielezea haiwezekani hiyo.

Mkuu nitarudi baadae kukupa points kwa nini sex haiwezi ku-transimit UTI
usithubutu kuwadanganya watu huu ugonjwa hatari sana madhara yake inaweza hata kupelekea mtu kuharibika kibofu cha mkojo na usijaribu kuwapotosha watu kuwa eti UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono....

The Sex & UTI connection
cystex-cranberry.png

Often known as “honeymoon cystitis”, increased sexual activity is one of the top reasons women contract urinary tract infections (UTIs). The UTI-sex connection is not clear cut because sexual activity, itself, does not directly cause a UTI, however, it can increase the introduction of bacteria into the urethra and cause irritation to that area. This, in effect, can increase the chances of developing a urinary tract infection (UTI), particularly among women who are more prone and whose urine stream isn’t typically strong enough to flush the bladder of this increased bacteria.

Use of certain types of barrier contraception can also increase the risk. Women who frequently develop urinary tract infections (UTIs) after sexual intercourse reported using condoms, diaphragms or spermicides while engaging in sexual activity. A common belief amongst the urological community is that these barrier contraceptive methods irritate the sensitive tissue in the vaginal and genital areas in women who may be allergic. This irritated tissue then helps create an environment where bacteria can thrive.

The good news is, you don’t have to stop having sex to prevent UTIs. Here are some steps you can take to minimize bacteria buildup and reduce your risk of getting UTIs from sex:
  • Urinate before sex, and promptly after
  • Clean your genital and anal areas before and after sex
  • Stay hydrated and drink plenty of water; this will help rid your urinary tract of bacteria
  • Don’t use a diaphragm or spermicide as your form of birth control
  • If your doctor recommends it, take a prescribed antibiotic after you have sex, or a daily antibiotic
If you do notice the symptoms of a urinary tract infection, seek UTI treatment from your doctor right away. Urinary tract infections are quite common, and unfortunately, getting one puts you at a greater risk of having more in the future. But taking care to minimize the bacteria that enters the urinary tract can help keep you safe from painful urinary tract infections.
 
UTI inasababishwa na uchafu wa vyoo. hiyo shule itakuwa haihimizi suala la usafi wa vyoo.

watoto wa kike wanaathirika zaidi kwa kuwa hukojoa wakiwa wamechuchumaa tofauti na watoto wa kiume. hivyo mkojo unapogonga choo kichafu na kurukia sehemu zao za siri.

lkn pia watt wa kike wapewe elimu juu ya kuchamba kinyesi, kwani nacho ni kisababishi kikubwa. wanapochamba wawe wanavuta tissue kwenda nyuma na siyo mbele kwenye tamu.,

kwan kwenye kinyesi kuna vimelea vinavyopatikana kwenye kila tumbo la binadamu na ambavyo husababisha UTI
Tamu [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
usithubutu kuwadanganya watu huu ugonjwa hatari sana madhara yake inaweza hata kupelekea mtu kuharibika kibofu cha mkojo na usijaribu kuwapotosha watu kuwa eti UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono....

The Sex & UTI connection
cystex-cranberry.png

Often known as “honeymoon cystitis”, increased sexual activity is one of the top reasons women contract urinary tract infections (UTIs). The UTI-sex connection is not clear cut because sexual activity, itself, does not directly cause a UTI, however, it can increase the introduction of bacteria into the urethra and cause irritation to that area. This, in effect, can increase the chances of developing a urinary tract infection (UTI), particularly among women who are more prone and whose urine stream isn’t typically strong enough to flush the bladder of this increased bacteria.

Mkuu hebu soma hii paragraph yako vizuri halaf ndo urudi na point ya msing.

Next time usi-highlight tu uka-copy ukaja uka-paste hapa

LT
 
THE SEX & UTI CONNECTION

ELEWA HIYO TITLE THE UISOME FULL !!! USIKURUPUKE mkuu!!!

Mkuu usi-panic hizi ni habari za kitaalam(in muhongo voice)

Hii ni sehemu ya bandiko lako

usithubutu kuwadanganya watu huu ugonjwa hatari sana madhara yake inaweza hata kupelekea mtu kuharibika kibofu cha mkojo na usijaribu kuwapotosha watu kuwa eti UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono....

The Sex & UTI connection
cystex-cranberry.png
The UTI-sex connection is not clear cut because sexual activity, itself, does not directly cause a UTI.

Labda nirudie hivi;

UTI SEX CONNECTION IS NOT CLEAR CUT BECAUSE SEXUAL ACTIVITY ITSELF DOES NOT DIRECTLY CAUSE UTI

Narudia tena kusema hivi kalisome tena andiko lako sijaleta comment yangu kichwa kichwa.
 
Mkuu usi-panic hizi ni habari za kitaalam(in muhongo voice)

Hii ni sehemu ya bandiko lako



Labda nirudie hivi;

UTI SEX CONNECTION IS NOT CLEAR CUT BECAUSE SEXUAL ACTIVITY ITSELF DOES NOT DIRECTLY CAUSE UTI

Narudia tena kusema hivi kalisome tena andiko lako sijaleta comment yangu kichwa kichwa.
Soma yote
THE SEX & UTI CONNECTION

ELEWA HIYO TITLE THE UISOME FULL !!! USIKURUPUKE mkuu!!!
 
Hii imekaaje kisayansi?

Mkuu kwa uelewa wangu mdogo sawa kabisa na wa kilaza ipo hivi:

Unywaji wa maji mengi husababisha ukojoe mara kwa mara.

Hali hii inasaidia kuwa- flash wale bacteria katika njia ya mkojo.

Msaada wa maji unakuwepo tu pale infection inapokuwa kwa kiwango kidogo tu.

Infection inapokuwa kubwa hakuna namna inabidi utumie dawa tu.
 
..Msaada wa maji unakuwepo tu pale infection inapokuwa kwa kiwango kidogo tu. Infection inapokuwa kubwa hakuna namna inabidi utumie dawa tu.

Nadhani sasa shida ipo kwenye correct definition ya "infection inapokuwa ndogo". Ni wadudu kiasi gani wanaweza kuwa safely flushed off na maji...na ni maji lita ngapi kwa siku ngapi.

Huku mitaani kwenye vijidispensary wadada wengi wamekuwa wakishauriwa kunywa maji "mengi" ili UTI itoke na matokeo yake tunasema imeshakuwa chronic. Mtu mwingine maji mengi kwake ni lita 1 ya maji ya Uhai.
 
Walokole/ Shehe Sharifu wanaoombea misukule imekaaje kisayansi? Babu wa Loliondo na kikombe chake imekaaje kisayansi?

Sayansi na Dini/Imani za watu ni vitu tofauti na vigumu kuelewashana ndugu blessings. Kama mtu anaamini kuna binadamu mwenzake anaweza kumfufua msukule, then I think the best thing ni kumuacha aendelee kuamini hivyo.
 
Nadhani sasa shida ipo kwenye correct definition ya "infection inapokuwa ndogo". Ni wadudu kiasi gani wanaweza kuwa safely flushed off na maji...na ni maji lita ngapi kwa siku ngapi.

Huku mitaani kwenye vijidispensary wadada wengi wamekuwa wakishauriwa kunywa maji "mengi" ili UTI itoke na matokeo yake tunasema imeshakuwa chronic. Mtu mwingine maji mengi kwake ni lita 1 ya maji ya Uhai.

Mkuu hapa udogo una b- determined hospital mtaalam akikupima anajua hii UTI ipo katika hali gani mostly wanaoshauriwa kunywa maji ni wale wenye + lakini ukishakuwa na ++,+++ &++++ lazima upate matibabu ya dawa

Na kuhusu maji ni kiasi gan,haiina kipimo exactly ila unapaswa kunywa maji ya kutosha ili uende short call vya kutosha.

Kitendo hicho kitakuwa kinasaidia kuwaflash wale wadudu.

Sijui kama nimejibu swali ipasavyo bosi wangu
 
Mitindo ya kufanya mapenzi nayo huchangia maambukizi ya UTI.. wanaume wakati wakijivinjari kiutu uzima wamekuwa wakipitisha vidole kwenye tundu la haja kubwa la mwenzake halafu kidole hichohicho anakitumia kuchezea mbele (kimjini wanasema anamnawa nyuma na mbele) bila kuosha vidole. kirahisi kabisa vijidudu vinaleta madhara mbele.
 
Back
Top Bottom