Urithi kwa watoto wa bi mdogo

Urithi kwa watoto wa bi mdogo

Sehemu ya mali ya bi mkubwa na baba yako (zitachotwa na kudhaminishwa mali za bi mkubwa wapew watoto wa bimkubwa

Sehemu ya mali zinazobaki ikiw ni jasho la baba na mke wa pili zitagawanwa kwa utaratbu wa kimilia kidn au kisheria

Ni vyema mkagawana kila mmoja afe na chake mambo ya kuishi kijamii nj magumu sana[emoji854][emoji409]
 
Nyote ni watoto wa baba mmoja, ninyi ni ndugu kabla ya mali, bila kujali kuna mali kiasi gani, njia rahisi ni kugawana kwa usawa.
 
Kama wanataka mali wapeni kila mmoja ajitegemee hakuna haja ya ugomvi
 
Wanasapotiwa pesa ya kula, pa kulala papo (hiyo nyumba husika) wenyewe wanachotaka ni kupewa kila kitu na kula bata kwa minajili ya mali za urithi
Lazima mchague msimamizi wa mirathi kati yenu. Mkishagawana, kuna mali mnaweza uza hela ikagawanywa. Lakini kuna nyumba mnaweza acha mkasema hii haitauzwa bali itamilikiwa na watoto wote kwa pamoja. Kwenye mgawo, hao watoto na nyie mnahaki sawa regardless wenzenu mama yao alikuja baadaye. Mirathi sio issue ya ndoa ambayo tunaangalia nani alichuma nini, labda kama kungekuwa na nyumba mbili mngegawa wengine huku, wengine kule.
 
Back
Top Bottom