Urithi wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Urithi wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Mwanafalsafa

Platinum Member
Joined
Jun 24, 2007
Posts
673
Reaction score
865
Kuna watu humu naonaga wanaumia kuhusu urithi (legacy) ya Magufuli mpaka wanajenga hoja eti inalazimishwa kwa nguvu.

Mi nawaambiaaga ni watu wenye akili kubwa tu tunaoelewa urithi wa Magufuli.

Haya muoneni na huyu Rais wa Shelisheli, naye ameungana na akili kubwa waliomuelewa Magufuli.

Au kuna watu wamemlazimisha kusema haya aliyoyasema?

" With these words, I would like to pay tribute to the exceptional African leaders who have recently passed. Late President John Pombe Magufuli was an extraordinary leader and a true visionary. His achievements for the people of the United Republic of Tanzania bears true testament to his lasting legacy."

- Wavel Ramkalawan (Rais wa Shelisheli) akihutubia kikao cha wakuu wa nchi za SADC jana tarehe 17-8-2021


Chanzo: Maiden Speech of President Wavel Ramkalawan on the occasion of the 41st Summit of SADC Heads of States and Government

-------

Kwa wapenzi wa picha, Mh. Rais ndo huyu hapa. Mwafrika mwenzetu wa nywele za kipilipili. Ni saluti kubwa sana kuona anamkubali mwafrika mwenzie, maana waafrika huwa hatufagiliani.

1629271577375.png
 
Unafikiri magufuli hana mazuri, ni mengi sana, ila kama binadamu naye pia ana mapungufu yake, ndio maana utaona kuwa hata uongozi ulioko madarakani umeenzi na kuyaendeleza mengi aliyoyaanzisha, ambaye hakubaliani naye ni yule tu mwenye chuki zake binafsi...
 
Kwahiyo huyo rais wa Seychelles anamfahamu dikteta mwendazake kuliko sisi Watanzania?

Mkuu wanasiasa ni wanafki sana. Anaweza kukuambia usiku mwema kumbe ndio kwanza saa tano asubuhi.

Rais wa Seychelles anajifanya kumpenda mtoto kuliko mama yake? Aweza kuwa fataki huyo!
 
Unafikiri magufuli hana mazuri,ni mengi sana,ila kama binadamu naye pia ana mapungufu yake,ndio maana utaona kuwa hata uongozi ulioko madarakani umeenzi na kuyaendeleza mengi aliyoyaanzisha,ambaye hakubaliani naye ni yule tu mwenye chuki zake binafsi...

Umeeleza ukweli ulio balance.
Kama nilivyo mimi na wewe na mwingine yeyote. JPM alikuwa na uhodari lkn pia alikuwa na udhaifu wake.
 
Kuna watu humu naonaga wanaumia kuhusu urithi (legacy) ya Magufuli mpaka wanajenga hoja eti inalazimishwa kwa nguvu.

Mi nawaambiaaga ni watu wenye akili kubwa tu tunaoelewa urithi wa Magufuli...
ila uruthi wa kufanya biashara holela hadi leo DAR na miji mingi imekuwa kama ilivyo(hakuna tena njia za waende kwa miguu, hakuna tena maeneo ya wazi,hakuna soko wala migahawa bali mji mzima ni soko na mgahawa).

Huu sio urithi mzuri kabisa maana unaua biashara na uwezo wa kiubunifu wa vijana.Pia urithi mwingine mbaya tulioachiwa ni watu kuwakimbia wazungu badala ya kukabiliana nao.Na urithi wa kulalamika sana nao ametuachia pia
 
sawa kabisa ila kumbuka kuwa mtu awaye yote akifa husifiwa pia hata kama alikuwa na uovu wa wazi wazi kabisa. Ni hulka njema ya kibinadamu. Maiti haidhiwakiwi ni mwiko.
 
Jiwe!!! What the hell is this? Don't mention this rotten carcass again.
 
Hawa wote walitumbuliwa enzi za mwenda zake, miandiko yao imekaa kijipujipu [emoji16][emoji16][emoji16]

Hudhani kuwa kina Ben Azory Mawazo Lissu au hata wale wa kwenye viroba walikuwa na ndugu, jamaa, marafiki au hata sympathisers?

Au unadhani unavyotanguliza wewe njaa zako na wengine ni hivyo?

IMG_20210806_053407_437.jpg


Bila shaka wewe na huyu:

IMG_20210513_200524_882.jpg


baba mmoja mama mmoja au katika ile timu iliyo tupotezea ndugu zetu wengi.

Roho zenu na huyu hapa:

IMG_20210819_111624_202.jpg


zinaonekana kufanana. Hata mnadhani mliowaua, kuwajeruhi au kuwapoteza ilikuwa ni sawa tu.

Mashetani wakubwa nyie.
 
Kumbe upinzani wote kuanzia Chadema,ACT,etc wanaompinga Magufuli walikuaga serikalini then ghafla Magufuli akawatumbua then ndio maana wanamchukia?

Yaani unataka kuniambia kuanzia Mbowe,Zitto,Mnyika,members wote wa Chadema mimi included tulikua serikalini tukatumbuliwa?tangu lini au unaota tu?

Yaani kila anaempinga Magufuli alitumbuliwa kutoka serikalini?

Unaona jinsi ulivyo mpumbavu?
When you discuss legacy it's important to direct your thinking on what legacy means. We all have right to question what Magufuli did in realising what is legacy today, but ameacha nini it is something else.

Unaweza kuwa mkorofi sana lakini umeacha nini?

Unaweza kuwa mwema Sanaa, lakini umeacha nini?

Yule mzee alikuwa bahili sana, lakini ameacha mali nyingi.

Yule mzee amesaidia sana maskini, lakini amekufa hana kitu.

etc.
 
When you discuss legacy it's important to direct your thinking on what legacy means. We all have right to question what Magufuli did in realising what is legacy today, but ameacha nini it is something else.

Unaweza kuwa mkorofi sana lakini umeacha nini?

Unaweza kuwa mwema Sanaa, lakini umeacha nini?

Yule mzee alikuwa bahili sana, lakini ameacha mali nyingi.

Yule mzee amesaidia sana maskini, lakini amekufa hana kitu.

etc.
Ameacha nchi ni masikini zaidi kuliko alivyoikuta hopeless kabisa huyu kichaa
 
UKISIKIA URITHI NDO HUU

Tarehe 14/11/2021 kulikuwa na uchaguzi wa mzunguko wa pili wa Meya wa Prizren, ambao ni mji mkuu wa kihistoria wa nchi ya Kosovo. Katika uchaguzi huo wagombea wawili walioongoza kwenye matokeo ya mzunguko wa kwanza uliofanyika Oktoba 2021 walichuana ili kupata mshindi.

Shakir Totaj wa chama cha PDK aliibuka mshindi kwa 51.01% ya kura, akimbwaga mpinzani wake (ambaye ndo alikuwa Meya anayetetea kiti) bwana Mytaher Haskuka wa chama cha LVV, ambaye aliambulia 48.99% ya kura.

Ila aliyetia fora kwa sisi waTanzania ni mpiga kura aliyepiga kura hii:

1637062745805.jpeg


Hayati Dr. John Pombe Magufuli amepata umaarufu mkubwa duniani kutokana na sera yake ya kushughulikia tatizo la UVIKO. Sera ambayo imeonesha matokeo chanya kwa nchi ya Tanzania kuwa ni nchi pekee duniani ambako 99.99% ya raia walikuwa wanaishi kwa uhuru bila wasiwasi wowote kuhusu UVIKO na wanaendelea kufanya hivyo hata sasa.

Kwenye nchi za Ulaya (ambapo Kosovo ni mojawapo) suala la UVIKO limeambatana na ukosefu wa uhuru kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kutokana na jinsi serikali za bara hilo zilivyoamua kulishughulikia tatizo hilo.

1637062762235.jpeg
 
Back
Top Bottom