Pole sana richebest hilo siyo tatizo la kurithi l ni lakuambukizwa . Pale mbungho (tse tse fly) anafanana na inzi ila yeye mkubwa ,akimung'ata mtu mwenye parasite aina ya trypanosoma brucei rhodensience akija kukung'ata wewe tayari nawewe atakuambukiza hilo tatizo, Kama mama yako atakuwa na huo ugonjwa wa sleeping sicknes atakuwa amekuambukiza kupitia huyo mbungh'o(tse tse fly) . Kwa upande mwingine inaweza kuwa chakula unachokula jaribu kuangali chakula kama jamii ya ndizi huwa zina chemical aina ya serotonin ambayo inafanya una sinzia sana lakini siyo tatizo wala si ugonjwa ni hali ya kawaida, ila ndizi ina faida nyingi za kiafya. Pia madawa ya hospitali huchangia hilo tatizo.ebu tueleze vizuri huwa unalala masaa mangapi