Urojo unatayarishwaje?na faida zake

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,248
Reaction score
13,244
Hiki ni chakula maarufu kwa wenzetu wa kule Zenj.Je kinaandaliwaje? na faida zake kiafya..
 
Ahahah mambo ya zanzibar hayo tena
Kwa utundu wako sitashangaa kuwa nayo unayajua .
Juzi kaja mchuchu nikampikia uji wa mchele ,alikunywa akawa ananiangalia aamini nikigeuka pembeni ,changanya kuwa ni wa kijijini hajawahi kusikia kuna uji wa mchele 🤣
Kila akiuliza ulijifunzia wapi mimi ooh wakati nasoma nje nilijifunza kwa wazungu huko ughaibuni 🙈
 
Ahaha alikuwa anakuzuga tu huyo njaa ilifika mahala pake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…