Urusi hali tete nchini Ukraine, hivi sasa inapumulia mashine

Urusi hali tete nchini Ukraine, hivi sasa inapumulia mashine

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Urusi inapambana kudumisha kampeni yake ya kijeshi na Ukraine na inaweza kuwa na uwezo wa kujibu mashambulizi, mkuu wa idara ya kijasusi ya kigeni ya Uingereza amesema.

Mkuu wa MI6 Richard Moore alisema Urusi imeshuhudia"anguko la kihistoria" katika malengo yake ya awali ya kumwondoa rais wa Ukraine, kuichukua Kyiv na kuweka mgawanyiko katika nchi za Magharibi.

Ameyasema hayo wakati akizungumza katika Jukwaa la Usalama la Aspen, ambapo ni nadra sana kuonekana hadharani.

Aliita uvamizi huo "kitendo cha wazi zaidi cha uchokozi. kwa Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia."

Alisema mafanikio ya hivi karibuni ya Urusi yalikuwa "madogo" na kwamba Urusi "inakaribia kuishiwa nguvu".

"Tathmini yetu ni kwamba Warusi watazidi kupata ugumu wa kupata nguvukazi na nyenzo katika wiki chache zijazo," Bw Moore alisema katikaa mkutano huko Colorado. "Watalazimika kusimama kwa namna fulani na hiyo itawapa Waukraine fursa ya kurudisha mashambulio."

Mtazamo huo unaweza kuonekana kuwa wa matumaini na uwezo wa Ukraine wa kukabiliana na mashambulizi unaweza kutegemea usambazaji mkubwa wa silaha za Magharibi ambazo maafisa wake wanasema mara nyingi umekuwa wa polepole sana kufika.

Mkuu wa MI6 alisema aina fulani ya mafanikio katika uwanja wa vita yatakuwa "ukumbusho muhimu kwa Ulaya yote kwamba hii ni kampeni ya kushinda" haswa kabla ya msimu wa baridi ambao kuna uwezekano wa kuona shinikizo kwenye usambazaji wa gesi.

"Tuko kwenye wakati mgumu," alisema. Sababu zaidi ya kudumisha uungwaji mkono kusaidia Waukraine kushinda au "angalau kujadiliana kuhusu nafasi yenye nguvu kubwa", alisema, ni kwa sababu kiongozi wa China Xi Jinping "alikuwa akitazama kama mwewe (kwa umakini)".

"Hakuna ushahidi kwamba [Rais Vladimir] Putin anasumbuliwa na tatizo la kiafya," alijibu alipoulizwa, akirejea maoni ya Mkurugenzi wa CIA William Burns katika Jukwaa hilo jana.

Takriban maafisa 400 wa ujasusi wa Urusi wanaofanya kazi kwa siri wamefukuzwa kote Ulaya, alisema, na kupunguza nusu ya uwezo wa Urusi wa kufanya ujasusi katika bara hilo.

"Mlango wetu uko wazi kila wakati," alisema linapokuja suala la kuajiri maafisa wa Urusi waliojitenga ili kupeleleza kwa ajili ya Uingereza.

NB: Katika kujifariji sisi warusi wa malinyi tucomment "Propaganda" sawa tumeelewana ee.

Screenshot_2022-07-22-08-36-37-80.jpg
 
Ni wiki ya pili sasa Russia amepunguza mashambulizi Ukraine. Leo tumehitimisha miezi mitano, tunaanza utafuta mwezi wa 6.

Kipindi hiki cha utulivu cha Russia kinaweza fanya majeshi ya Ukraine kujikusanya na kujipanga upya, lakini pia tusisahau HIMARS zimechangia mno kumfanya Russia atulie ghafla.

Kila silaha ya west inayofikishwa Ukraine imekuwa ni lulu.
 
nani sasa atatuambia kuwa sasa hivi Ukraine ina Mgogoro mkubwa ndani ya Vyombo vyake vya usalama hadi wanatishiana kufukuzana na kupinduana

nani atatuambia kuwa Ulaya kwny hadhara kuu yake wamelaani kitendo cha Urusi kutumia Mafuta na Gas yake kama Silaha wakati wao huwa wanatumia vikwazo vya uchumi kwa Russia kama silaha?

nani atatuambia kuwa hadhara kuu ya EU imetangaza kukata 15% ya matumizi yake ya Gas Ulaya nzima kukabiliana na mbinyo wa mafuta kutoka Urusi?

nani atatuambia hivi sasa Ulaya inateketea kwa Mioto inayounguza maeneo na watu wao kuanzia Spain hadi England?
 
na curve zikachorwa kuwa kilele cha kuokota mizoga ya binadamu waliokufa kwa covid Africa itakuwa May 2020

kuna teja alikotwa kafa maeneo ya Mnazi mmoja Dar es salaam wale WHO wa Tandale kwa Tumbo wakaanza na mbwembwe zao 'Tafiti za Mzungu ' hazidanganyi
“Muda si mrefu afrika itaanza kuokota watu mabarabarani kama kuku kutokana na COVID-19 ” Mtendaji mkuu wa WHO
 
Urusi inapambana kudumisha kampeni yake ya kijeshi na Ukraine na inaweza kuwa na uwezo wa kujibu mashambulizi, mkuu wa idara ya kijasusi ya kigeni ya Uingereza amesema.

Mkuu wa MI6 Richard Moore alisema Urusi imeshuhudia"anguko la kihistoria" katika malengo yake ya awali ya kumwondoa rais wa Ukraine, kuichukua Kyiv na kuweka mgawanyiko katika nchi za Magharibi.

Ameyasema hayo wakati akizungumza katika Jukwaa la Usalama la Aspen, ambapo ni nadra sana kuonekana hadharani.

Aliita uvamizi huo "kitendo cha wazi zaidi cha uchokozi. kwa Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia."

Alisema mafanikio ya hivi karibuni ya Urusi yalikuwa "madogo" na kwamba Urusi "inakaribia kuishiwa nguvu".

"Tathmini yetu ni kwamba Warusi watazidi kupata ugumu wa kupata nguvukazi na nyenzo katika wiki chache zijazo," Bw Moore alisema katikaa mkutano huko Colorado. "Watalazimika kusimama kwa namna fulani na hiyo itawapa Waukraine fursa ya kurudisha mashambulio."

Mtazamo huo unaweza kuonekana kuwa wa matumaini na uwezo wa Ukraine wa kukabiliana na mashambulizi unaweza kutegemea usambazaji mkubwa wa silaha za Magharibi ambazo maafisa wake wanasema mara nyingi umekuwa wa polepole sana kufika.

Mkuu wa MI6 alisema aina fulani ya mafanikio katika uwanja wa vita yatakuwa "ukumbusho muhimu kwa Ulaya yote kwamba hii ni kampeni ya kushinda" haswa kabla ya msimu wa baridi ambao kuna uwezekano wa kuona shinikizo kwenye usambazaji wa gesi.

"Tuko kwenye wakati mgumu," alisema. Sababu zaidi ya kudumisha uungwaji mkono kusaidia Waukraine kushinda au "angalau kujadiliana kuhusu nafasi yenye nguvu kubwa", alisema, ni kwa sababu kiongozi wa China Xi Jinping "alikuwa akitazama kama mwewe (kwa umakini)".

"Hakuna ushahidi kwamba [Rais Vladimir] Putin anasumbuliwa na tatizo la kiafya," alijibu alipoulizwa, akirejea maoni ya Mkurugenzi wa CIA William Burns katika Jukwaa hilo jana.

Takriban maafisa 400 wa ujasusi wa Urusi wanaofanya kazi kwa siri wamefukuzwa kote Ulaya, alisema, na kupunguza nusu ya uwezo wa Urusi wa kufanya ujasusi katika bara hilo.

"Mlango wetu uko wazi kila wakati," alisema linapokuja suala la kuajiri maafisa wa Urusi waliojitenga ili kupeleleza kwa ajili ya Uingereza.

NB: Katika kujifariji sisi warusi wa malinyi tucomment "Propaganda" sawa tumeelewana ee.

View attachment 2299452
Wakati huo huo UK, Italy zikilazimishwa kubadili Mawaziri wakuu
 
nani sasa atatuambia kuwa sasa hivi Ukraine ina Mgogoro mkubwa ndani ya Vyombo vyake vya usalama hadi wanatishiana kufukuzana na kupinduana

nani atatuambia kuwa Ulaya kwny hadhara kuu yake wamelaani kitendo cha Urusi kutumia Mafuta na Gas yake kama Silaha wakati wao huwa wanatumia vikwazo vya uchumi kwa Russia kama silaha?

nani atatuambia kuwa hadhara kuu ya EU imetangaza kukata 15% ya matumizi yake ya Gas Ulaya nzima kukabiliana na mbinyo wa mafuta kutoka Urusi?

nani atatuambia hivi sasa Ulaya inateketea kwa Mioto inayounguza maeneo na watu wao kuanzia Spain hadi England?
Yaani hizi habari ni kama hazipo hivi kwenye media za Ulaya, hawa Jamaa wanapropaganda Sana.
 
Ni wiki ya pili sasa Russia amepunguza mashambulizi Ukraine. Leo tumehitimisha miezi mitano, tunaanza utafuta mwezi wa 6.

Kipindi hiki cha utulivu cha Russia kinaweza fanya majeshi ya Ukraine kujikusanya na kujipanga upya, lakini pia tusisahau HIMARS zimechangia mno kumfanya Russia atulie ghafla.

Kila silaha ya west inayofikishwa Ukraine imekuwa ni lulu.
Mtajifariji sana mwaka huu kauli ya mkuu ushatoka uko kwamba Rusia haitaishia kwenye majimbo hayo mawili Tu Bali mipaka mingine itaongezwa zaidi Hadi Ukrein Waite mazungumzo wenyewe na si kuombwa
 
na curve zikachorwa kuwa kilele cha kuokota mizoga ya binadamu waliokufa kwa covid Africa itakuwa May 2020

kuna teja alikotwa kafa maeneo ya Mnazi mmoja Dar es salaam wale WHO wa Tandale kwa Tumbo wakaanza na mbwembwe zao 'Tafiti za Mzungu ' hazidanganyi
😂😂😂
 
Back
Top Bottom