Yaani mkuu unaamini kabisa Putin atamaliza Ugaidi AfrikaNi wazo zuri pia idadi ya watu lazima iongezwe kwa kufanya ngono au wewe ndugu mwandishi ulitaka Putin aanzishe maabara ya kutotolesha binadamu wakati watu wapo wanaoweza kuzalishwa? Hapo ni kutoa promosheni tu kwa Nchi za Afrika ziende kuongeza idadi ya warusi km alivyoahidi kupambana na ugaidi Afrika
Kwa niniHapa bongo labda ianzshwe kwa ajili ya wachagga na wapare.
Tukamchukue engonga atasaidia sanaWaziri awe nani mkuu?
Uuuh! Yaani hawsna? Sisi toyari tuna Wozara ya Kazi, Jinsia, Watoto, na Makundi Maalum mathalani Walokole au CHADEMA. Hii ninihii yako Mjumbe unasemanini khasa?Wakuu,
Ni kwamba huyu baba nchi ishamshinda au Urusi rasmi imegeuka kuwa Chaneli ya vichekesho.
Hivi karibuni imeripotiwa kuwa Urusi inafikiria kuanzisha “wizara ya ngono” kama njia ya kushughulikia tatizo la kupungua kwa idadi ya watu kuzaliwa nchini humo.
Nina Ostanina, mwenye umri wa miaka 68 na mtu anayeaminiwa na Rais Vladimir Putin, anayeongoza Kamati ya Ulinzi wa Familia katika Bunge la Russia, anapitia ombi linalotaka wizara hii ianzishwe.
Hatua hii ni moja ya juhudi zinazofanywa na serikali za kukabiliana na hali ya kupungua kwa idadi ya watu nchini Russia, hali ambayo imezidi kuwa mbaya kutokana na vita inayoendelea nchini Ukraine.
Kwa mujibu wa gazeti la Mirror, wazo hili linakuja wakati ambapo viongozi wa Russia wanajaribu kuongeza kiwango cha uzazi ili kukidhi wito wa Putin wa kupambana na mzozo wa idadi ya watu.
Huyu ndo mnataka awe mshindani wa Marekani? Kama population growth tu imewashinda wataweza mambo ya vita kweli?
Source: The Mirror, The Hindustan Times
Akianzisha Wizara ya Nyege na akawachukua Waafrika waende wakawazalishe na kuzalishwa na Warusi nakuhakikishia haitachukua miaka mingi Afrika haitokua na gaidiYaani mkuu unaamini kabisa Putin atamaliza Ugaidi Afrika
Ndio walikua hawana Wizara ya Nyege anataka kuanzisha PutinSisi toyari tuna Wozara ya Kazi, Jinsia, Watoto, na Makundi Maalum
Huyo uliyemjibu ndo aina ya watu wakitakiwa kujaza fomu wakifika pale panapotakiwa kujaza "Sex" anajaza "Two times a day". Anadhani sex manake niNgoja kwanza.
Je una uhakika neno 'sex' linamaanisha ngono?
Kwhyo zile fomu zimeandika kipengele Cha jinsi wangetafsiri vp?kweli waache akili ndogo wanajaribu kuichafua Russia baada ya kushindwa vitaSawa kwakuwa umedhirisha wewe ni akili ndogo ngoja nikuache maana asiejua huwa haambiwi.
Ndio ambao idad yao inapungua kwa kas ya mwangaKwa nini
Tupendekeze jina la waziri wa kuiongozaNa hapa bongo ianzishwe
Sex ni biological au physiological attribute inayomfanya mtu kuitwa wakiume au wakike. Yani sex simply ni jinsia na sio ngono.Lina maana gani?
Bashe anatufaaTupendekeze jina la waziri wa kuiongoza
Heading ya thread iko tofauti na lengo ka kuanzishwa kwa wizara. Neno ngono limeharibu ladha ya kusoma. Kumbe ni wizara inayoshughulika na kupungua kwa idadi ya watu.Wakuu,
Ni kwamba huyu baba nchi ishamshinda au Urusi rasmi imegeuka kuwa Chaneli ya vichekesho.
Hivi karibuni imeripotiwa kuwa Urusi inafikiria kuanzisha “wizara ya ngono” kama njia ya kushughulikia tatizo la kupungua kwa idadi ya watu kuzaliwa nchini humo.
Nina Ostanina, mwenye umri wa miaka 68 na mtu anayeaminiwa na Rais Vladimir Putin, anayeongoza Kamati ya Ulinzi wa Familia katika Bunge la Russia, anapitia ombi linalotaka wizara hii ianzishwe.
Hatua hii ni moja ya juhudi zinazofanywa na serikali za kukabiliana na hali ya kupungua kwa idadi ya watu nchini Russia, hali ambayo imezidi kuwa mbaya kutokana na vita inayoendelea nchini Ukraine.
Kwa mujibu wa gazeti la Mirror, wazo hili linakuja wakati ambapo viongozi wa Russia wanajaribu kuongeza kiwango cha uzazi ili kukidhi wito wa Putin wa kupambana na mzozo wa idadi ya watu.
Huyu ndo mnataka awe mshindani wa Marekani? Kama population growth tu imewashinda wataweza mambo ya vita kweli?
Source: The Mirror, The Hindustan Times
Wakuu,
Ni kwamba huyu baba nchi ishamshinda au Urusi rasmi imegeuka kuwa Chaneli ya vichekesho.
Hivi karibuni imeripotiwa kuwa Urusi inafikiria kuanzisha “wizara ya ngono” kama njia ya kushughulikia tatizo la kupungua kwa idadi ya watu kuzaliwa nchini humo.
Nina Ostanina, mwenye umri wa miaka 68 na mtu anayeaminiwa na Rais Vladimir Putin, anayeongoza Kamati ya Ulinzi wa Familia katika Bunge la Russia, anapitia ombi linalotaka wizara hii ianzishwe.
Hatua hii ni moja ya juhudi zinazofanywa na serikali za kukabiliana na hali ya kupungua kwa idadi ya watu nchini Russia, hali ambayo imezidi kuwa mbaya kutokana na vita inayoendelea nchini Ukraine.
Kwa mujibu wa gazeti la Mirror, wazo hili linakuja wakati ambapo viongozi wa Russia wanajaribu kuongeza kiwango cha uzazi ili kukidhi wito wa Putin wa kupambana na mzozo wa idadi ya watu.
Huyu ndo mnataka awe mshindani wa Marekani? Kama population growth tu imewashinda wataweza mambo ya vita kweli?
Source: The Mirror, The Hindustan Time
Kuna taasisi za kidunia unahisi au unahakika, zipo na zimewekwa kupunguza idadi ya watu dumiani. Family planing, vita, ushoga, magonjwa ya kutengenezwa maabara, kama ukimwi, ebola covid, Marburg pox, nk.Wakuu,
Ni kwamba huyu baba nchi ishamshinda au Urusi rasmi imegeuka kuwa Chaneli ya vichekesho.
Hivi karibuni imeripotiwa kuwa Urusi inafikiria kuanzisha “wizara ya ngono” kama njia ya kushughulikia tatizo la kupungua kwa idadi ya watu kuzaliwa nchini humo.
Nina Ostanina, mwenye umri wa miaka 68 na mtu anayeaminiwa na Rais Vladimir Putin, anayeongoza Kamati ya Ulinzi wa Familia katika Bunge la Russia, anapitia ombi linalotaka wizara hii ianzishwe.
Hatua hii ni moja ya juhudi zinazofanywa na serikali za kukabiliana na hali ya kupungua kwa idadi ya watu nchini Russia, hali ambayo imezidi kuwa mbaya kutokana na vita inayoendelea nchini Ukraine.
Kwa mujibu wa gazeti la Mirror, wazo hili linakuja wakati ambapo viongozi wa Russia wanajaribu kuongeza kiwango cha uzazi ili kukidhi wito wa Putin wa kupambana na mzozo wa idadi ya watu.
Huyu ndo mnataka awe mshindani wa Marekani? Kama population growth tu imewashinda wataweza mambo ya vita kweli?
Source: The Mirror, The Hindustan Times