Urusi iko mbioni kuanzisha Wizara ya ngono

Hiyo ni fursa kwa wazee wa KATAA NDOA
 
Sex ni biological au physiological attribute inayomfanya mtu kuitwa wakiume au wakike. Yani sex simply ni jinsia na sio ngono.

Sexual intercourse ndio ngono.
Maelezo mazuri, ila Sex ni Jinsi (hali ya kuwa mume au mke kimaumbile). Wakati Gender ni Jinsia (mahusiano ya kimfumo katika jamii baina ya ke na me).
 
Matatizo ya watu weupe, matatizo ya matajiri.
White people problems, rich people problems
 
Sex ni biological au physiological attribute inayomfanya mtu kuitwa wakiume au wakike. Yani sex simply ni jinsia na sio ngono.

Sexual intercourse ndio ngono.
He is right for the definition number 1. below 👇
********************************************
Sex:
noun
1.
(chiefly with reference to people) sexual activity, including specifically sexual intercourse.
"they enjoyed talking about sex"

2.
either of the two main categories (male and female) into which humans and most other living things are divided on the basis of their reproductive functions.
"adults of both sexes"
*******************************************
 
As far as I know, may be the Russian regime is planning to establish the 'Ministry of SEXPIONAGE' but not the Ministry of SEX.
 
Putin anataka kuziba pengo la wale Vijana aliyewapeleka wakafe kwenye Vita?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…