njia_ya_msalaba
Member
- May 27, 2022
- 11
- 58
RUSSIA IMEONESHA AFRICA NDIYO MSINGI WA DUNIA KWA SASA
Mafahali wawili wanaposhindana wanyonge hupita salama
ndugu zangu utaona Rais Putin kwa sasa ameikumbatia sana Africa kama moja ya msingi mkuu wa uchumi wa Russia hii ni kudhihirisha kuwa Africa ni dude kubwa lililolala lililotumi na wazungu na Russia analijua hilo ndo maana ameamua kuja mzima mzima (Mungu ambariki) kwani yeye historia inaonesha ni rafiki mwaminifu na siyo mbinafsi kama manyangau ya magharibi na Uchina.
kiukwel unapoongelea ukombozi wa uhuru wa Bara la Africa huwez kuitenga Russia and all of this alifanya buree bila kutanguliza maslai yake ya kiuchumi mbele, kama kuna kaka nje ya Africa ambaye twapaswa kumwangalia na kumshika kwa ajili ya utumwa wa fikra ambao Hawa Manyangau wanataka kutuingiza basi huyo kaka lazma awe Russia ya Putin.
Sasa ni wakati wa Africa kutambua nafasi yake katika Dunia, ni wakati wa viongozi wengi wa Africa kuwaza kumiliki silaha nyingi za Nuclear na uwezo wa kijeshi kwani bila majeshi imara ni ngumu kumiliki uchumi katikati ya unyonywaji wa manyangau, na najua hili la kumiliki silaha za maangamizi litatokea muda siyo mrefuu miongoni mwa nchi za Africa hasa kwa kuwa Rais putin ameamua kuachia mbawa zake juu ya Africa na kuwakinga Mashoga kwa makucha yake.
Mafahali wawili wanaposhindana wanyonge hupita salama
ndugu zangu utaona Rais Putin kwa sasa ameikumbatia sana Africa kama moja ya msingi mkuu wa uchumi wa Russia hii ni kudhihirisha kuwa Africa ni dude kubwa lililolala lililotumi na wazungu na Russia analijua hilo ndo maana ameamua kuja mzima mzima (Mungu ambariki) kwani yeye historia inaonesha ni rafiki mwaminifu na siyo mbinafsi kama manyangau ya magharibi na Uchina.
kiukwel unapoongelea ukombozi wa uhuru wa Bara la Africa huwez kuitenga Russia and all of this alifanya buree bila kutanguliza maslai yake ya kiuchumi mbele, kama kuna kaka nje ya Africa ambaye twapaswa kumwangalia na kumshika kwa ajili ya utumwa wa fikra ambao Hawa Manyangau wanataka kutuingiza basi huyo kaka lazma awe Russia ya Putin.
Sasa ni wakati wa Africa kutambua nafasi yake katika Dunia, ni wakati wa viongozi wengi wa Africa kuwaza kumiliki silaha nyingi za Nuclear na uwezo wa kijeshi kwani bila majeshi imara ni ngumu kumiliki uchumi katikati ya unyonywaji wa manyangau, na najua hili la kumiliki silaha za maangamizi litatokea muda siyo mrefuu miongoni mwa nchi za Africa hasa kwa kuwa Rais putin ameamua kuachia mbawa zake juu ya Africa na kuwakinga Mashoga kwa makucha yake.