Urusi imepoteza wanajeshi 100,000. Hiyo ni sawa na ukijumuisha JWTZ, KDF, UPDF, RDF na uche

Urusi imepoteza wanajeshi 100,000. Hiyo ni sawa na ukijumuisha JWTZ, KDF, UPDF, RDF na uche

Hehehe maustadh sijui nani amewashikilia akili, Ukraine hata mkiua milioni watapambana mpaka wa mwisho maana nchi yao imeingiliwa, mjifunze na kilicho wakuta Marekani kule Vietnam, unaua ila wanaendelea kushambulia kizalendo, wanakuja kama moto.
Epuka kiherehere cha kuingilia watu kwenye nchi yao, Warusi wameishiwa na wanajeshi hadi wanaokoteza vijiweni na bado wataendelea kufa kama senene....
Futa hiyo headline, Ursula von der Leyen kakuumbua.
 
Bosi wa EU ameshasema zaidi ya wanajeshi 100,000 wa Ukraine wamekufa, wewe ni nani wakubisha. Imeisha hiyo...

Sikia ustadh....Nimekuambia wapo radhi kufa milioni hadi wa mwisho lakini ardhi yao haichukuliwi, mjifunze na kilichowakuta Marekani kule Vietnam, sasa hivi Urusi ameishiwa wanajeshi mpaka anaokoteza mitaani, kajiingiza kwenye shimo ambalo hatoki.
 
Sikia ustadh....
I'm a devoted christian, huo ustadh umenipa wewe?
Nimekuambia wapo radhi kufa milioni hadi wa mwisho lakini ardhi yao haichukuliwi, mjifunze na kilichowakuta Marekani kule Vietnam, sasa hivi Urusi ameishiwa wanajeshi mpaka anaokoteza mitaani, kajiingiza kwenye shimo ambalo hatoki.
Ardhi isichukuliwe mara ngapi? Hayo majimbo yaliyochukuliwa unafikiri ni ardhi ya wakikuyu?
 
I'm a devoted christian, huo ustadh umenipa wewe?

Ardhi isichukuliwe mara ngapi? Hayo majimbo yaliyochukuliwa unafikiri ni ardhi ya wakikuyu?

Urusi alikua amejaribu kuparamia hadi Kyev ila akapokea za uso na amepelekeshwa tangu Kyev mpaka hapo alipo na vita vitaishia Crimea maana huko ndiko vilianzia.
Alisema atatumia kila mbinu kulinda hayo maeneo aliyoyapigia kura, kaanza kuyapoteza na hajafanya lolote la maana, hao wanywa gongo aliokusanya vijiweni hamna jipya wanauawa kama senene....akbar akbar takbir
 
Urusi alikua amejaribu kuparamia hadi Kyev ila akapokea za uso na amepelekeshwa tangu Kyev mpaka hapo alipo na vita vitaishia Crimea maana huko ndiko vilianzia.
Alisema atatumia kila mbinu kulinda hayo maeneo aliyoyapigia kura, kaanza kuyapoteza na hajafanya lolote la maana, hao wanywa gongo aliokusanya vijiweni hamna jipya wanauawa kama senene....akbar akbar takbir

Msaidie mama yenu hapa anaaibika.
 

Msaidie mama yenu hapa anaaibika.


Tweets za nini unahangaika nazo ustadhi, Mrusi aliingia cha kike kwenye hivi vita, ameishiwa wanajeshi na kudhoofishwa na kainchi kadogo saizi ya mkoa mmoja wa Urusi.
 
Tweets za nini unahangaika nazo ustadhi, Mrusi aliingia cha kike kwenye hivi vita, ameishiwa wanajeshi na kudhoofishwa na kainchi kadogo saizi ya mkoa mmoja wa Urusi.
Unadanganya umma, jana Kamishna wa EU Ursula kasema Ukraine soldiers 100K na civiliana 20K wamefariki, Zelenskky kachukia hiyo report na imeondolewa vipande vya idadi waliokufa. Hii ya kwako sijui umeipata wapi na baridi imeanza hapo Ukraine .

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unadanganya umma, jana Kamishna wa EU Ursula kasema Ukraine soldiers 100K na civiliana 20K wamefariki, Zelenskky kachukia hiyo report na imeondolewa vipande vya idadi waliokufa. Hii ya kwako sijui umeipata wapi na baridi imeanza hapo Ukraine .

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Mimi nilijua Ukraine wamekufa milioni moja kwa ambavyo Mrusi ameingia hasara, nilidhani silaha zake zote hizo kafanya makubwa maana amedhoofishwa na kuishiwa, kha!! Mbona ana mtihani mkubwa maana kwa hapo alipo anaokoteza hadi vijiweni....
 
Mimi nilijua Ukraine wamekufa milioni moja kwa ambavyo Mrusi ameingia hasara, nilidhani silaha zake zote hizo kafanya makubwa maana amedhoofishwa na kuishiwa, kha!! Mbona ana mtihani mkubwa maana kwa hapo alipo anaokoteza hadi vijiweni....
Ukraine na Ulaya na Marekani wameungana lakini bado

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Hahahaaaa,jamaa anasema tweet za Nini?Akili yake Inameshajiset kureject taarifa mbaya upande wa Ukraine!
Anabaki na nyimbo zilezile za Toka mwanzoni mwa SMO!
Ila 100000÷miezi 8(siku 240) unapata wanajeshi 417 a day!
So kila siku Wanajeshi wa Ukraine 417 wanakutanishwa na muumba wao!
Na hili ni kadirio la chini!!!
 
Ukraine na Ulaya na Marekani wameungana lakini bado

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Mwambieni Urusi akosee njia ashambulie kakijiji kamoja ka NATO aone atakavyofutwa, juzi hapa kifaa cha kuzuia makombora cha Ukraine kimepiga kakijiji Poland ila Mrusi akawa wa kwanza kung'aka n'gaka kwamba sio yeye hata kabla hajaulizwa.
 
Back
Top Bottom