Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Unavyoongea sasa! Utadhani kuku aliyekatwa kichwaNmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sasa hivi inapatikana bei ya kutupwa na wauza gesi za magendo wa kirusi huko deep seaNmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha west Africa jamaa wanajua biashara hasa ya gesi hupeleka vijijini gesi kwa panda
Waeleze Tatizo wanaleta ushabikiPoland imesema hahitaji hiyo gesi ya Urusi
Lakini mkataba ulikuwa kati ya kampuni ya Poland na kampuni ya Urusi
Kampuni ya Poland inayonunua gesi kuuza poland inasema kampuni ya Urusi imevunja mkataba kwa kutoipelekea gesi.Kuiburuza kampuni ya Urusi mahakamani kwa kukiuka mkataba
"Poland's deputy foreign minister said the country could cope without Gazprom's gas and had "taken some decisions many years ago to prepare for such a situation".
Polish state gas company PGNiG, which bought 53% of its gas imports from Gazprom in the first quarter of this year, confirmed that supplies to the country had been halted
It described the suspension as a breach of contract, adding that the company would take steps to reinstate the gas supply."
Urusi sio ZimbabweUnavyoongea sasa! Utadhani kuku aliyekatwa kichwa
Yaani ukashtaki sababu mtu amegoma kununua kwako? Kwani kati ya muuzaji na mnunuzi nani ni mfalme?Kwahiyo ata Russia anaweza kuwastaki ambao wamesitisha kununua gas kwao kwasababu siamini kama kulikuwa na kipengele kwamba ikitokea mmeanzisha vita au kuingilia Nchi flani tutaacha kununua gas?
Hata mimi nimemshangaa, iweje muuzaji ndo awe mfalme badala ya mnunuzi. Tusichojua ni kwamba watu hawakukurupuka kumpiga pini mrusi, walitazama yote haya. Ipo siku mrusi hali itakuwa tete mno.Makampuni ya Urusi mengi yalikuwa ya Magharibi unashitaki vipi ? Kwa mfano Total ya Tanzania ambayo wamiliki wafaransa ina mkataba na Total ya ufaransa kununua mafuta Tanzania na kuyauzia kampuni ingine ya ufaransa.Ufaransa ikasema hainunui mafuta Tanzania utamshitaki nani kwa kuvunja mkataba?
Hii habar imetolewa pia BBC, vipi sio Propaganda?Ww mfuasi wa CCM huwa huamiki maana habari zako zote huwa hazina ukweli.
Mwanasheria hodari mweleze huyoYaani ukashtaki sababu mtu amegoma kununua kwako? Kwani kati ya muuzaji na mnunuzi nani ni mfalme?
Vipi hii habari sio propaganda? BBC wametoa pia hii habar na Al Jazeera.Hii imekaa powah sanaa , ajabu utaona wanaanza kulalamika kuwa Urusi kakosea, wakati wanataka kujitoa kutegemea gesi ya Urusi, Putin kawasaidia kujitoa kwa haraka
Aiseee!Nmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utampeleka vipi Mahakamani Mtu yuko full Sanctions?Mahakama gani itamuhukumu Mrusia?Hapo Sheria Mkononi tu hakuna Mahakamani wala kwa Mjumbe.Poland imesema hahitaji hiyo gesi ya Urusi
Lakini mkataba ulikuwa kati ya kampuni ya Poland na kampuni ya Urusi
Kampuni ya Poland inayonunua gesi kuuza poland inasema kampuni ya Urusi imevunja mkataba kwa kutoipelekea gesi.Kuiburuza kampuni ya Urusi mahakamani kwa kukiuka mkataba
"Poland's deputy foreign minister said the country could cope without Gazprom's gas and had "taken some decisions many years ago to prepare for such a situation".
Polish state gas company PGNiG, which bought 53% of its gas imports from Gazprom in the first quarter of this year, confirmed that supplies to the country had been halted
It described the suspension as a breach of contract, adding that the company would take steps to reinstate the gas supply."
We waache tu, wanaona kama NATO wamewehuka hivi kumbe wenzao wapo ktk plan.Nmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
wacha wagandeKipindi cha baridi kimeanza na wanakata gas,
Au kuku aliye pulizwa na upepo nyeti Zika onekanaUnavyoongea sasa! Utadhani kuku aliyekatwa kichwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria baada ya nchi hizo kukaidi kulipia gesi kwa kutumia pesa ya Urusi ruble. Mara baada ya tangazo hilo kutoka, bei ya gesi ilipanda kwa asilimia 12 katika nchi za magharibi!!
Gazprom halts gas supplies to Bulgaria, Poland
Russia’s state-owned energy corporation has put it down to Sofia and Warsaw’s failure to pay for the fuel in rubles
Gazprom, Russia’s major gas supplier, has announced that it completely halted gas deliveries to Bulgaria and Poland after these countries failed to pay for the fuel in rubles. According to the statement, the gas supplies will not resume until Sofia and Warsaw comply with the new terms.
Yaani ukashtaki sababu mtu amegoma kununua kwako? Kwani kati ya muuzaji na mnunuzi nani ni mfalme?
Nato ndiyo wanaotakiwa kushitakiwaPoland imesema hahitaji hiyo gesi ya Urusi
Lakini mkataba ulikuwa kati ya kampuni ya Poland na kampuni ya Urusi
Kampuni ya Poland inayonunua gesi kuuza poland inasema kampuni ya Urusi imevunja mkataba kwa kutoipelekea gesi.Kuiburuza kampuni ya Urusi mahakamani kwa kukiuka mkataba
"Poland's deputy foreign minister said the country could cope without Gazprom's gas and had "taken some decisions many years ago to prepare for such a situation".
Polish state gas company PGNiG, which bought 53% of its gas imports from Gazprom in the first quarter of this year, confirmed that supplies to the country had been halted
It described the suspension as a breach of contract, adding that the company would take steps to reinstate the gas supply."
Russia hakuna mabasha. NATO huwa wanawatumia wanajeshi mashoga kuwahadaa wanaume kwakuwapa jicho kisha kuwageuka. Russia kitendo cha kuonesha ushoga huwa unawatia hasira zaidi. Watakutandika risasi kwenye hilo shimo. Hivyo NATO hawana njia nyingine yakumuondoa Putini mafarakaniNmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app