Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria. Putin alivyosema walipe kwa ruble hakuwa anatania

Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria. Putin alivyosema walipe kwa ruble hakuwa anatania

Nmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sasa hivi inapatikana bei ya kutupwa na wauza gesi za magendo wa kirusi huko deep sea

Ulaya itaingia tu kwa magendo ila vita ikiisha wataipaata kwa bei kama bure
 
Poland imesema hahitaji hiyo gesi ya Urusi

Lakini mkataba ulikuwa kati ya kampuni ya Poland na kampuni ya Urusi

Kampuni ya Poland inayonunua gesi kuuza poland inasema kampuni ya Urusi imevunja mkataba kwa kutoipelekea gesi.Kuiburuza kampuni ya Urusi mahakamani kwa kukiuka mkataba


"Poland's deputy foreign minister said the country could cope without Gazprom's gas and had "taken some decisions many years ago to prepare for such a situation".

Polish state gas company PGNiG, which bought 53% of its gas imports from Gazprom in the first quarter of this year, confirmed that supplies to the country had been halted

It described the suspension as a breach of contract, adding that the company would take steps to reinstate the gas supply."
Waeleze Tatizo wanaleta ushabiki
 
Makampuni ya Urusi mengi yalikuwa ya Magharibi unashitaki vipi ? Kwa mfano Total ya Tanzania ambayo wamiliki wafaransa ina mkataba na Total ya ufaransa kununua mafuta Tanzania na kuyauzia kampuni ingine ya ufaransa.Ufaransa ikasema hainunui mafuta Tanzania utamshitaki nani kwa kuvunja mkataba?
Hata mimi nimemshangaa, iweje muuzaji ndo awe mfalme badala ya mnunuzi. Tusichojua ni kwamba watu hawakukurupuka kumpiga pini mrusi, walitazama yote haya. Ipo siku mrusi hali itakuwa tete mno.
 
Poland imesema hahitaji hiyo gesi ya Urusi

Lakini mkataba ulikuwa kati ya kampuni ya Poland na kampuni ya Urusi

Kampuni ya Poland inayonunua gesi kuuza poland inasema kampuni ya Urusi imevunja mkataba kwa kutoipelekea gesi.Kuiburuza kampuni ya Urusi mahakamani kwa kukiuka mkataba


"Poland's deputy foreign minister said the country could cope without Gazprom's gas and had "taken some decisions many years ago to prepare for such a situation".

Polish state gas company PGNiG, which bought 53% of its gas imports from Gazprom in the first quarter of this year, confirmed that supplies to the country had been halted

It described the suspension as a breach of contract, adding that the company would take steps to reinstate the gas supply."
Utampeleka vipi Mahakamani Mtu yuko full Sanctions?Mahakama gani itamuhukumu Mrusia?Hapo Sheria Mkononi tu hakuna Mahakamani wala kwa Mjumbe.
 
Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria baada ya nchi hizo kukaidi kulipia gesi kwa kutumia pesa ya Urusi ruble. Mara baada ya tangazo hilo kutoka, bei ya gesi ilipanda kwa asilimia 12 katika nchi za magharibi!!

Gazprom halts gas supplies to Bulgaria, Poland
Russia’s state-owned energy corporation has put it down to Sofia and Warsaw’s failure to pay for the fuel in rubles

Gazprom, Russia’s major gas supplier, has announced that it completely halted gas deliveries to Bulgaria and Poland after these countries failed to pay for the fuel in rubles. According to the statement, the gas supplies will not resume until Sofia and Warsaw comply with the new terms.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani ukashtaki sababu mtu amegoma kununua kwako? Kwani kati ya muuzaji na mnunuzi nani ni mfalme?

Uko sahihi
Ni kama mfano nina daladala halafu nalazimisha kuwa lazima abiria wa wapande daladala yangu vinginevyo siji hiyo njia!! Na pili abiria waliokataa kupanda nitawaburuza mahakamani! Kwa kupitia hasara !!!
 
Poland imesema hahitaji hiyo gesi ya Urusi

Lakini mkataba ulikuwa kati ya kampuni ya Poland na kampuni ya Urusi

Kampuni ya Poland inayonunua gesi kuuza poland inasema kampuni ya Urusi imevunja mkataba kwa kutoipelekea gesi.Kuiburuza kampuni ya Urusi mahakamani kwa kukiuka mkataba


"Poland's deputy foreign minister said the country could cope without Gazprom's gas and had "taken some decisions many years ago to prepare for such a situation".

Polish state gas company PGNiG, which bought 53% of its gas imports from Gazprom in the first quarter of this year, confirmed that supplies to the country had been halted

It described the suspension as a breach of contract, adding that the company would take steps to reinstate the gas supply."
Nato ndiyo wanaotakiwa kushitakiwa
 
Nmwanachama wa NATO Sasa hivi watapata tabu kidogo kwa upande wa gesi lakini badae hiyo gesi kutoka Urusi wataipata sawa na bule baada ya kumtoa Putin madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Russia hakuna mabasha. NATO huwa wanawatumia wanajeshi mashoga kuwahadaa wanaume kwakuwapa jicho kisha kuwageuka. Russia kitendo cha kuonesha ushoga huwa unawatia hasira zaidi. Watakutandika risasi kwenye hilo shimo. Hivyo NATO hawana njia nyingine yakumuondoa Putini mafarakani

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom